Ewalaah! Swadaktaah! Alhamdulilaah! Takbiru alaah walibaahlu! Ila naona umesahau the constructive part of your criticism. Sasa baada ya kunena maneno mazito yenye jazba kubwa kama hayo; jee una ushauri gani kuhusu pendekezo au mapendekezo ya suluhisho la malalamiko uliyo nayo dhidi ya Kikwete na...
Naomba upunguze munkari mjomba. Kwanza hii hoja ilikuwa haihitaji mada maalum. Wazungu wana msemo fulani: bark is worse than bite. Hebu jiulize: pamoja na ushahidi wote uliyo wazi hakuna Mtanzania hata mmoja kati ya watu milioni 40 (Dr. Slaa na Rev. Mtikila included) aliyeweza kufungua mashitaka...
People like you get all worked up when anyone dares challenge what you appear to accept as incontrovertible "divine truths" from your beloved sage. Its your problem though, I can't be bothered!
I am entitled to my opinion in here just as you, and everyone else for that matter, are free to make your views known in this board. What I'm against is narrow-minded, self-righteous individuals like you who take it upon themselves the task of influencing public opinion through persistent...
:D Eebana mwanamalundi kulikoni? Naona umehusudu hiyo picha ya Gary Glitter akipata chai jaba eapoti Bangkok baada ya kufeki ugonjwa ...... hahaahaaa ... hii kali babu!! :D
Kasome historia ufahamu na kuelewa. Bagamoyo ilishamiri sana kielimu enzi zile za utawala wa Waarabu na ilikuwa "centre of learning" kwa Wanazuo wa Kiislamu enzi hizo. Wazawa wa kwanza kujifunza kusoma na kuandika walipitia madrassa ambazo ni shule kamili kulingana na ustaarabu wa Kiarabu, na...
Hata mtoto wa darasa la 5 atakwambia kwamba kihistoria Uislamu unatokana na utawala wa Kiarabu, sasa sijui unataka uthibitisho gani zaidi ya huo. Hiyo "miundo mbinu, elimu dunia" na sijui vitu gani unayodai hebu tuambie vyanzo vyake ni nani na wapi? Hebu tuwekee wazi. Ni "elimu dunia" ambayo...
Nishakwambia wacha utoto ndugu! Unajiabisha bure mtu mzima! Kama huna hoja kaa kimya, au siyo! Hiyo "sheria dha hapa jamvini" inaruhus pia kukaa kimya, nadhani unafahamu hiyo!
Haloo, sijui unazungumza vitu gani. Hebu tuliza boli. Hapa ni muhimu kutofautisha kati ya Uislamu na Uarabu; dini ya Kiislamu chimbuko lake haswa ni tamaduni na mfumo wa maadili unaotokana na jamii ya Kiarabu/Waarabu, kubali usikubali. Sijadai kwamba Waislamu wote ni Waarabu (au kuwa Muislamu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.