Naamka na kukuta Warema na Wasemaji wa Serikali ndio wamekuwa kisima cha ukweli mbele ya manazi wa CHADEMA na Lema ndio amekuwa Malaika Msemakweli wao.
Wanachosahau ni kuwa wakati wa Buzwagi yalisemwa hayahaya kuhusu mkataba na wakati wa EPA waliyasema hayahaya kuhusu Dr Slaa na list ya...
Huyu ndio Lwaitama... Sijashangaa!
Nimesoma andiko la Dr Lwaitama. Mzee wetu na mwalimu wetu lakini pia mpambanaji wa kudumu katika mapambano ya kifikra.
Nimeangalia andiko lake katika angle mbalimbali na kugh'amua sababu ya alichokiandika, sina uhakika kama ndio msimamo wake lakini nia ya...
Wanabodi,
KEYNOTE ADDRESS BY DR. SALIM AHMED SALIM AT THE OCCASION AFRICA VISION AWARDS
NEW YORK 20TH MAY 2010
AFRICA IN THE NEXT FIFTY YEARS
Excellencies;
Ladies and Gentlemen
It is a real honour for me to be invited at this auspicious occasion and to join you in celebrating this...
Ndugu wanajamii,
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia hili neno la waasisi wetu. Kwa kweli naamini kwa wengi wetu maana halisi ya waasisi wetu bado ni suala tata. Kwa muono wangu ni kuwa kuna waasisi na viongozi waasisi. Kutambua waasisi ni zoezi kubwa mno lakini naamini kwa manufa ya kimfumo ni...
Nasikitika kuwataarifu wanahrakati wote wa UDSM miaka ya mwishoni mwa 90's na mwanzoni mwa 2000's kuwa rafiki yetu, ndugu yetu na kiongozi wetu mpendwa Kamarade MKILI GERVAS ametutoka jana Jumapili asubuhi baada ya kupata mshtuko wa moyo. Msiba upo nyumbani kwake Mbezi Salasala, Dar Es Salaam...
Kuna taarifa kuwa maslahi ya Waisrael ndiyo chanzo cha aliyekuwa mhariri mtendaji wa magazeti ya IPP kama The Gurdian, Nipashe, Alasiri na mengineyo mwanadada Sakina Datoo kulazimika kuachia ngazi.
Inasemekana kuwa Mzee Mengi aliamua kumshusha cheo Sakina kwa kumpeleka kuwa mhariri wa gazeti...
Nimepata taarifa kuwa wafadhili kadhaa wakubwa wamekata msaada wao kwa taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation. Ni wazi hili litakuwa pigo kubwa kwa Mzee Ben lakini pia kwa watanzania ambao walikuwa wakifaidika na mfuko huu. Kwa upande mwengine nadhani hili linaweza kuwa ujumbe makini kwa...
Kuna taarifa nimezipata kuwa lile zengwe la kuingilia taratibu za tenda ya kuendesha mradi wa vitambulisho nchini limekuwa zaidi ya ulaji wa Masha. Hivi sasa sakata hilo limegeuzwa kama vita kati ya "akina Masha" Vs "akina Membe"
Sakata hilo sasa limeelekea bungeni ambako sumu imepenyezwa...
Ni wazi kuwa kama hali ya kisiasa itaendelea kama ilivyo sasa huku watawala wakiendelea na imani potofu kuwa CCM ni Tanzania na Tanzania ni CCM, ipo siku nchi yetu itafika walipofikia makamarade wenzetu wa Zimbabwe kama sio kufikia hali mbaya zaidi ya wao.
Kwa mtazamo wangu mazingira ya nchi...
Kwa wale wanaoamini umuhimu wa maisha na falsafa ya mwalimu nyerere kama kina sisi hii ni platform nyingine muhimu ya kujaribu kile wanachosema "keep the fire burining" Hii ni kazi ya Mwalimu Nyerere Chair on Panafricanism, UDSM kilicho chini ya mjamaa maarufu Tanzania Kamarade Issa Shivji...
Katika siku za hivi karibuni "vigogo" wa CCM wanakutana mjini dodoma kama halmashauri kuu ya chama ambayo kwa kawaida hufuata kikao cha kamati kuu. Ni wazi kuwa baada ya uovu wa EPA na dafalau la BUTIAMA rais Kikwete analazimika kutumia nafasi hii kuthibitisha umuhimu wa yeye kuwa rais wa...
Wazee najitahidi kuwatupia mambo ya leo MLIMANI wakati wa kumsimika msomi wetu Prof Issa Shivji Kiti Maalumu cha Usomi Cha Mwalimu Julius kambarage Nyerere. yeye anakuwa msomi wa kwanza kutunukiwa kiti hicho ambacho ni cha kwanza cha mfanowe kuanzashwa katika vyuo vyetu hapa nyumbani. kiti hiki...
Ndugu zangu waliopo viwanja vya nyumbani ambao mlipata nafasi ya kuangalia kipindi cha Jenerali on Monday jana wakiongelea miaka minane baada ya kifo cha Mwalimu tusaidieni kutupa mambo maana wengine ndio hivyo tena.....
Tanzanianjema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.