Naona ni kweli kilichoandikwa maana hata RAIA MWEMA nanukuu"kwa mujibu wa nakala ya hukumu ambayo raia mwema imeipata. ROSTAM ANATAKIWA SASA KULIPWA FEDHA HIZO KAMA FIDIA YA KUKASHIFIWA KATIKA HABARI ZILIZOANDIKWA NA MWANAHALISI"mwisho wa kunukuu. Sasa waungwana kama hivyo ndivyo ilivyo si...
Nipo SUA hali pia ni mbaya sana kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza na wa pili watoto wa wakulima wapo taabani wanakula chai na mkate kama mlo wa siku nzima,unategemea nini kwa msomi huyu? ndugu zangu inatia uchungu watu wanajuta kuzaliwa katika nchi ambayo vipaumbele vya watawala ni kinyume na...
Nackia kufakufa nimekumbuka wakati fulani akina RA na crew yake wakimtuhumu Jk kuwa ni saawa na mtu aliyeokotwa njiani akapewa lifti akafikishwa mjini na baada ya kufika akawatosa waliomtoa porini na kuwakimbilia walomwacha msituni katika hili walikuwa wanamlaumu bure maana inaonyesha bado wako...
dgeouff Bukuku amepita katika mambo mengi hasa katika ndoa yake na kuandikwa sana na magazeti ya mlokole shigongo hivyo unaweza kuona hata message za nyimbo kama Esther pale anpomalizia kwa kuwashtaki ma Naamani wanaoodhoofisha huduma zisiendelee mbele, pia katika wimbo 'ukiinuliwa na Mungu juu'...
Mkubwa hao wote mie naona wanafanana sana kwani licha ya kutofaotiana aina ya mapigo ya muziki wao bukuku ni kama alikuwa anataka kuwajibu watu katika albamu yake ya mwisho na muhando amebaki kuwa mburudishaji zaidi kuliko kuwa muhubiri. ukitaka tujadili nani zaidi mkubwa labda ungekuwa specific...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.