Baraza hawakuleta majibu yoyote ila tume ilioundwa na waziri mkuu ilifika shuleni na kuwahoji wanafunzi juu ya tukio lote lililotokea siku ya mtihani mpaka kusababisha baraza wafute matokeo hayo na kugundua kua ni usimamizi mbovu na mwalim kuhamisha kazi ya mwanafunzi mmoja kuwapa wengine na...
Mwanafunzi kufutiwa matokeo yake kwa makosa ya walimu au utendaji mbovu au kuonewa kwa njia yoyote ile na baraza la mitihani wakapewa habari hyo kuhusu uonevu huo na bado wakakaa kimya mwanafunzi yupo mtaani tu anatumikia adhabu kutokana na utendaji mbaya wa watu wengine
NINI KIFANYIKE HAPO JAMANI
mimi kwa jina naitwa Yassin Said Athumani ni
kijana ninaeishi morogoro ni mmoja kati ya
wanafunzi waliofanya mtihani wa kidato cha nne
katika shule ya Jabal hiraa seminary school lakini
matokeo yang yalifutwa na BARAZA LA MITIHANI
TANZANIA kwa madai kuwa katika majibu yangu
somo moja la mwisho...
mimi ni mmja kati ya wanafunziwalofutiwa hayo matokeo ila na mimi nilienda baraza la mitihani na kuwapa barua yang na kukanusha madai hayo ya kufanya udanganyifu ktk exams room
mimi kwa jina naitwa Yassin Said Athumani ni
kijana ninaeishi morogoro ni mmoja kati ya
wanafunzi waliofanya mtihani wa kidato cha nne
katika shule ya Jabal hiraa seminary school lakini
matokeo yang yalifutwa na BARAZA LA MITIHANI
TANZANIA kwa madai kuwa katika majibu yangu
somo moja la mwisho...
Alaf jaman mwanafunzi anafutiwa matokeo yake na sababu za kufanana kwa mitihani ikiwa undani wake sababu zinajulikana,, paper ya computer practical wakat wa ku print kaz zinatoka nying na kukuta wanawekewa na wengine majib ya mtu mmoja tu hili baraza wanalizungumziaje na kuna uhakika wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.