RIP Roy! Alikuwa na beats za kipekee zilizowatoa wasanii kadhaa
Matonya-Siamini, Vaileti, Dunia Mapito...
Mr Blue-Niite Mr Blue, Mapozi...
AB Skills-Nakupenda....
Noorah-Ice Cream
Enika-Baridi kama hii
Kwani ilikuwa ni lazima sana asaidiwe na Majizzo? Hakuna wengine? Halafu anaponda kulipwa laki 5 kwa show haiendani na brand yake si aende kunakolipa zaidi?
Demu dish limeyumba kidogo...
Kukataliwa na BSS sio kigezo kwamba fulani hajui muziki na hatakuja kufanikiwa. Wangapi walipoanza safari yao walikutana na vikwazo hivyo hivyo lakini hawakukata tamaa mpaka wakafanikiwa? Diamond mwenyewe unajua ni kwa kiasi gani amesota wakati anaanza safari ya muziki na alikatishwa tamaa mara...
Sio lazima... Lakini at least acknowledge mchango wake kwenye mafanikio yako na sio kutumia rungu la kusema umemchukua wakati hana jina na umewekeza hela kwake as if hana mchango wowote kwako.
Wasanii wajifunze kusign mikataba ya muda maalum kwamba atakaa kwa miaka kadhaa, atatoa album kadhaa, muda ukiisha wanaagana kiroho safi maisha yanaendelea.
Point yangu ni kwamba ule ulikuwa ni mkataba ambao pande zote zimefaidika na sio suala la kwamba upande mmoja umetoa fadhila kwa upande wa pili ambao walikuwa hawajulikani. Huwezi kutumia justification ya kwamba umewekeza hela nyingi kwa msanii wakati msanii huyo huyo nae amekuingizia hela pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.