ushauri wa bure fanya utafiti kwa kina halafu uandike kwenye mitandao nina uhakika asilimia mia moja huna unalifahamu kwa huyu unayemzungumzia kuwa na hakika na jambo ulisemalo
Nina hakika humfahamu vizuri na unaenda kisa la jinai la mitandaoni fanya uchunguzi wa kina ndiyo utoe taarifa sahihi angalia usijeingia kwenye matatizo kwa ushauri wangu naiomba umutake radhi na ufute kauli yako
hawa ni watu wazima ailimia mia moja wamekubalina hakuna mbakaji, hapo wajua tenakiangazi arthi ikikauka walau manyunyu yakipta inashukuru.ulicho kiona kishie machoni mkeo asijue ugomvi huumalizi.
sifa kubwa mwanamke aliekamilka ni kutongozwa hatakama ni mke wa mtu (kama wewe nimtokaji au unashuguli za hapa na pole ndani siku 7 lazima ukutane hilo hata kama ni utani ,utani mwisho kweli)
navyofahamu HG nikama mwanao kumuendea kinyume ni dhambi kubwa sana hebu fikiria HG akiugua au andoke huwa kinatokea nini ?hawa wanaofanya hivi ni wale walioksa maadili au hawakwenda jando, huyo ndio dereva siku akiamua kuwatumbukiza mtoni hakuna ujanja,.halafu hawa ni wale wenye zege mdomoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.