Gazeti hili limetoa picha za majeruhi wa mabomu Mbagala ukurasa wa mbele wakiwa wamelazwa chini wawili wawili kwenye godoro moja.
Binafsi sijafurahishwa na picha hizo likiwa ni gazeti la chama tawala lisingeonyesha picha hizo.
Wengine mnasemaje?
Pamoja na nchi hii kupata uhuru wake miaka zaidi ya 40 sasa bado kuna watu wanatumikisha na mabwana makubwa na kunyanyashwe na pia kudharauliwa. wakati wa ukoloni mababu zetu walitumikisha na kuitwa makabwela. watu wasio na kitu. lakini hadi sasa watu ni maskini wa kutupwa.
cha kushangaza...
Wakuu hivi kwa nini wanasiasa wa Tanzania wanapenda sana kupakana matope?
Badala ya kuweka kipaumbele cha kuleta maendeleo kwa wananchi wake wao kazi kusemana tu.
Ndio maana hutuendelei, sasa hivi wanafikiria uchaguzi wa 2010 hakuna cha ahadi walizotoa 2005. Kusema kweli huyu mtu anitwa...
mwenyekti wa uwt Sofia Simba ametangaza safu ya viongozi (wajumbe) wanzake 5 watakao fanyakazi nao ni:-
Hawa ghasia
shamsha mwangunga
zakia megheji
zainabu shomari
thureya abdala
kamati ya utekelezaji
pamoja nahao hapo juu ni
lucy mayenga
fatuma toufiq...
Nina omba kueleweshwa hivi ni sawa redio kutumia takribani saa nzima inachambua magazeti mawili tu tena ya jioni ? Hapo biashara ipo kweli kama hata barua za wasomaji inasomwa.Kuna sheria yeyote inayohusiana na hili.
Mwenye uelewa atueleweshe.
wakati wa mapokezi ya taifa stars waziri mmoja kwa furaha alisema kuwa atahakikisha anapata upenyo wowote mpaka aende ivory coast kuona mashindano ya kutafuta mabingwa nyumbani.hii haijakaa sawa ni kwa gharama za nani. kazi kweli kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.