Hivi TAMISEMI si Ipo Dodoma muda mrefu? Sasa hao wanakula per diem wakati bado wapo hapo hapo Dodoma?
Hebu pata facts vizuri kuhus huo mradi, wizara na hiyo ps3 (ni nini hii?) halafu weka vizuri hoja yako. Sasa hivi unaonekana kama santuri iliyovunjika - hoja zako zinagongana.
Mkuu wa mkoa itabidi akae pembeni kwa hili kwani yale teksi bubu lazima zisajiliwe kama gari ya biashara na ipate mkanda wa wilaya yake husika. Mapato kwa serikali hayo mkuu wa mkoa hawezi kuingilia.
Mfanya biashara wa taxi atakuwa mwehu kukata huduma ya Uber ambayo inamletea wateja na harudi...
Mungai: Takwimu zinathibitisha mafanikio yangu ya Elimu bora
Luqman Maloto
Wizara ya Elimu kama ambavyo imekuwa ikibadilishwa majina kwa nyakati tofauti na kuunganishiwa majukumu mengine kadiri inavyompendeza Rais wa wakatihusika, ndivyo pia wamepita Mawaziri wengi walioiongoza.
Kila mmoja...
Aliyekuwa Waziri wa Elimu katika Serikali ya Awamu ya 3 ya Raisi Benjamin Mkapa, Joseph Mungai, afunguka na kujadili kwa kina kuhusu mafanikio yaliyopatikana katika elimu Tanzania wakati wa kipindi chake. Ifuatayo ni nukuhu alipokaa na mwandishi wa habari Luqman Maloto, na kuchapishwa na gazeti...
Aliyekuwa Waziri wa Elimu katika Serikali ya Awamu ya 3 ya Raisi Benjamin Mkapa, Joseph Mungai, afunguka na kujadili kwa kina kuhusu mafanikio yaliyopatikana katika elimu Tanzania wakati wa kipindi chake. Ifuatayo ni nukuhu alipokaa na mwandishi wa habari Luqman Maloto, na kuchapishwa na gazeti...
Nadhani kasema ilishatokea huko nyuma, kwamba watu walikuwa wanacheza na kunywa na bomu likalipuka. Kampala at 2 places come to mind during the 2010 World Cup RSA.
Sasa, kuhusu kumteka Kaguta.........sijui!!!!
Naona hapa kuna watu ambao hawajui nini kinaendelea mpaka kuanza kuandika maneno ya karaha - kuwa na mke mzungu kunaingiaje hapa? Kwani Maggid kavunja sheria yeyote? Ameanza kwa kusema kwamba "...aonavyo yeye...". He, Maggid Mjengwa, like everybody else, is entitled to his own opinion...
What BS!
Yeye ni Amri Jeshi Mkuu kutangaza tutaritaliate against M23? Kweli unabase uwezo wa Membe over Kikwete kwa sababu ameshindwa kutoa maamuzi kuhusiana na nani achinje? Really?
What has Membe done for this country? Wilaya yake je?
our whole statement is pathetic really....my opinion.
Ceteris paribus, one must learn from someone who has succeeded in doing things, i.e. learn from one who is successful (legally, I might add!) Malaysia is that someone, that entity that has done well and succeeded. they have put their success here: PEMANDU - Performance Management Delivery Unit...
Uoga wangu usije ukawa ni yale mambo ya Said Kubenea, mambo ya kishenzi na wake za watu huku wakidai eti ni maswala ya kisiasa!!
Swali langu ni moja tuu: Hivi katika siasa za Tanzania kweli mwandishi wa habari amekuwa muhimu/tishio kihivyo mbaka waanza kuwa eliminated? Sipati picha hiyo kwa...
Hii taarifa imetoka wapi? Manake mpango wa kujenga "...... mtambo mkubwa wa uzalishaji umeme huko huko Mtwara." ulikuwepo tangu zamani. In fact, sasa hivi gesi ya Mnazi Bay inabadilishwa kuwa umeme pale Mtwara mjini ambapo kuna 12MW tayari zinasambazwa Mtwara na Lindi.
Hii taarifa potofu -...
My question exactly!! Artumas walishatengeneza kiwanda cha kubadili gas kuwa umeme long time!!! Lindi na Mtwara na vitongoji vyake vina MW12 kati ya uwezo wa MW18 tayari in place!! Wakati watu Dar na TZ yote kwa ujumla wanalalamika kukatwa umeme mara kwa mara hawa ndugu zetu Mtwara na Lindi...
On another thread I presented these "facts" - the government has already implemented a gas to electricity project for the people of Mtwara & Lindi! http://www.wentworthresources.com/pd...%20Project.pdf.
Also: refer to this link: http://www.wentworthresources.com/pd...ual_Report.pdf
Refer to...
Then you should read this and make your concerns available: http://www.mem.go.tz/wp-content/uploads/2012/11/Natural-Gas-Policy-Draft-Management-MEM-29-October-2012.pdf
read and know the facts, my brother(sister?). name calling and stupid innuendos does you no good!
Like I told the other diehard: Mnanichekesha kweli! Ndio maana watu wengine wasio waAfrika au weusi hutucheka kwamba ukitaka tusijue nini kinaendelea duniani basi weka kitu hicho kwenye...
Mnanichekesha kweli! Ndio maana watu wengine wasio waAfrika au weusi hutucheka kwamba ukitaka tusijue nini kinaendelea duniani basi weka kitu hicho kwenye maandishi na mijitu (kama nyinyi - masluphill, mbwilo shadrack, et al) hamtasoma! Once again refer to this link...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.