wew acha wehu wako.
lile shambulio ubalozi wa usa dsm walikufa wazungu wangapi?
Asad - syria mpaka chemical weapon kwanini?
somalia wao kwa wao......
popote penye mauwaji ya kuchinja watu lazima mkono wa magaidi wakiislam upo kwanini?
JIHAD NITATIZO HAPA DUNIAN
Pengo anewasaliti maasikofu wenzako
pengo amekula tena maharage
nilikuwa namheshimuuu , sasa simheshi tena
pengo ameliabisha kanisa katoliki
pengo nan amekurogaaaaaaa!!!!!!
Wanajaribu kuzuia ghalika kwa mikono, ikumbukwe ndiyo mkowa ambao umebaki 100% tegemeo kwa ccm.
UKAWA kupitia Chama cha CUF inauwezo mkubwa kuchukuwa zaid 70% ya viti mkowani Tanga
Hiyo ndiyo suluhu yakweli 100%
1. Katiba ya wananchi kupitia J Warioba wameipiga chini
2. Maboresho ya daftari niya mazingaombwe
3. Raia wala hawafaham nini kimewekwa na mafisadi akina Chenge
4. Upo uwezekano mkubwa kura zikafanyiwa fraud na kupika takwim, je wakisema imepita raia...
unapigia kura jinamizi ambalo hata hulifaham, je wakilazimisha takwim, unajeshi wewe kukataa? wao wanamajeshi yote
Sanasana wanatafuta pa kurekebishia kura za maruhani.
UKAWA lazima wajipange sana,
Hili kama la kweli ninaliafiki 100%, kama wakikubali ile fedha ya Stanbic na ya mkombozi nk itafanyakazi ya kuhonga, usishangae ikapita. Dawa nikuitupilia mbali wakapige kura wenyewe ccm ili iwe katiba ya ccm 100%
Ndugu huyu nimbunge wa Jimbo la LUPA TINGA TINGA - CHUNYA Mkowani MBEYA. Nimajanga, ccm walimpitisha kwa kulazimisha.
Jimbo lile ukienda utajuta, barabara nimakolongo na mawe, wakulima wanaibiwa tumbuka wakati wamauzo usipime, nilibahatika kupita huko Mwezi Dec 2014 sina ham kabisa maisha ya...
Many thanks Mkuu for this vital comment.
Huu ndio ukweli, ccm ikishatusambalatisha haijalishi ni mwislam, mkristu au nani wote tunabakia kama toilet paper. ukikaribia uchaguzi utawaona hao wakipiga hodi na uzushi wao. CCM ndiye adui namba moja wa watanzania akipandikiza na kutuchochea iliwao...
1. Nimekuambia hicho kitu hakipo nikanushe nini? nikanushe hewa? wewe unayesema kipo ndiye unayetakiwa kuthibitisha. Ingelikuwa ni somo la hesabu ulitakawiwa kuprove hii theory, au show that au verify. sasa weka ushahidi hapa.
2. Hebu fafanua umagharibi ndio ulikaa na Mwimnyi, Mkapa na sasa...
Kumbe nani tukuite zuzu, huwezi tetea usichokuwa na ushahidi nacho. kama sio mbumbumbu au zuzu weka ushahidi otherwise ndiyo tunakwambia huo mfumo haupo nihewa na wakufikirika.
wewe acha kuyumba nakuyumbishwa na propaganda, ukiambiwa tafakali kisha jiulize na baada ya hapo tafuta majibu.
1. Burundi wamepigana na mambo yao yako hovyo kunamfumogani unaowahujum wahutu na watusi?
2. Rwanda walipigana na kuuwana vibaya, sasa hivi wametuacha mbali, pamoja na uwepo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.