Sikushauri X-TRAIL sio stahamilivu kwenye rough roads, sio comfortable kwa safari ndefu lakini iko spacious, inasumbua sana ikianza matatizo, mafundi wetu wengi hawaijui hata wa garage kubwa, spare zake ni ghali sana hata kama kitu ni kidogo kiasi gani bado utahitajika kutoboka mifuko kwa sana
Huo tunaita ni uvivu wa kufikiri, haiwezekani sababu hizo ni mamalaka mbili tofauti na zina majukumu tofauti, pia mchakato wa vitambulisho ni mkubwa kuliko wa sensa.
Wana JF kati ya sisi ni nani hajawahi kula mbwa labda kama ni veg. maana kila mahali wanauzwa siku hizi hasa mabucha ya uswazi maana huko hakuna ukaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.