Jana mwanangu alizidiwa usiku alikuwa anatapika nikamwahisha kituo cha afya cha serikali Sinza Palestina, kufika pale nikapata huduma kama kawaida kwa daktari akaniambia nimpeleke mwanangu maabara akachukuliwe vipimo ili wajue tatizo ni nini.
Kufika maabara nikakuta watu wengi wanamsubiri...
MBUNGE wa Viti Maalumu, Susan Kiwanga (CHADEMA) na maofisa wa Benki ya NMB Tawi la Kilombero, wamejikuta wakidondosha machozi baada ya kushuhudia wanafunzi wakiwa wamekaa kwenye tope huku wakiendelea na masomo.
Tukio hilo lilitokea juzi katika shule za msingi Ntyangimbole na Kidete...
MTU MMOJA APIGWA NA KUUMIZWA VIBAYA NA POLISI
Kushoto ni kijana ambaye jina halikutambuliwa mara moja akipigwa na polisi.
Kijana ambaye hana shati akichapwa na polisi aliye mbele yake.
Nyuma ya pikipiki ni jana anayeendelea kupigwa na polisi baada ya...
TANZANIA MENS RIGHTS ASSOCIATION
CHAMA CHA KUTETEA HAKI ZA WANAUME TANZANIA
TAMRA
Equal treatments for all
UTANGULIZI
TAMRA ni Asasi ya kiraia iliyoanzishwa na wanaume wa Tanzania kwa lengo la kutoa msaada wa Kisheria pamoja na Elimu ya Haki na Wajibu katika mahusiano...
Jamani nipokeeni kijana wenu nimekuja kwa lengo la kuelimishana na kutetea masrahi ya Taifa hili yanayo liwa na wachache ambao tunaweza kuwaita mafisi.
Naombeni ushirikiano wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.