Naombeni msaada wana JF.
Nikituma message kwa kutumia outlook express napata message hii:
The message could not be sent because one of the recipients was rejected by the server. The rejected e-mail address was 'willmboje@yahoo.com'. Subject 'HI', Account: 'amu.udsm.ac.tz', Server...
Kuna bwana anatibu. Mimi nilikuwa navyo. katika kutibu kisukari nilijikuta vile vile nimetibu hivyo vidonda. sasa sijui ni dawa gani ya kienyeji iliniponya. Maana siku stick kwa aina moja. Kwa hiyo kifupi kinatibika na dawa za kienyeji. ..................................
Mkuu hiyo si kweli. Lazima ulipe kiasi fulani ya kodi baada ya kufanyiwa depreciation, hata kama utakaa nalo miaka 10. Sema baada ya muda mrefu unacholipa kinakuwa kidogo sana.
Siyo siri ktk umri wangu wa miaka 47 umenifanya kwa sentesi yako kuhusu watoto nilie. Naamini The Lord Jesus Christ atakuwa amewasahaulisha na haya machungu. Tuseme wote Amen
Wana JF wapi naweza pata hii herb 'purified Tribulus terrestris extract', available under the brand name Libilov. Hii ni kwa wale wenye matatizo ya pre mature ejaculation. Kwa anayejua anijuze tafadhali.
Huyu bwana ni msukuma. Haya majina ni kama ameyakarabati ili aonekane yeye ni wa iramba zaidi. Vinginevyo majina yake yanasomeka Lameck Ng`wigulu Nchemba siyo Mwigulu Mchemba
Wakuu niliwahi kusoma humu JF, kuwa kuna ndugu mmoja alikuwa anaelezea dawa ya vidonda kwa wenye kisukar. (of course hata na wasio na kisukar possibly, lakini siku hiyo alikuwa specific kwa ajili ya watu wenye kisukari). Dawa yenyewe inahusisha asali na vitu vingine sikumbuki. Naombeni kama kuna...
Usipokuwa mwangalifu humu JF unaweza ukawa misled.
gari ya US$ 1800 (2002) swift kwa vyovyote haiwezi kufika million 9 mpaka uwe nayo barabarani. Sana sana ni kama dola $3500. Hapo iko barabarani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.