Biashara Matangazo mkuu
Kama umesoma biashara kuna kitu kinaitwa P tatu za biashara.
Place - Eneo
Price - Bei
Product - Bidhaa na mwisho
Promotion - Matangazo, kwa hiyo kufanikiwa kwenye biashara yoyote matangazo ni muhimu
Nduhi Mapigano
Mbunge wetu Mtarajiwa wa Jimbo la Muhambwe cha tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
Kijana msomi, aliyejikita katika masuala ya Tawala za Mikoa, Manispaa na halmashauri.
HISTORIA YA ELIMU YAKE KWA UFUPI:
Elimu ya msingi: 1994-1996 – Kibondo shule ya msingi (Kibondo)
...
Hapo kwenye bold ameandika source, na nimepitia hiyo website ni legit ya wataalam wa tiba mbadala kutoka UK, nadhani wakati unasoma hii makala ulipitiwa kidogo, hukuona
Nahitaji trey 10 fertile eggs kwa ajili ya kutotolesha, Napatikana maeneo ya Mwenge (Nyuma ya Nakiete) wakati wa Kazi na Tegeta mida baada ya kazi, ningepata leo hii ningeshukuru sana.
Nimetuma DM pamoja na number yangu.
Natanguliza shukrani
Mambo Jambo Hi,
Hii ni biashara nzuri sana kuna jamaa yangu aliianza kimzaha mzaha lakini sasa hivi ni miongoni mwa suppliers wakubwa wa Chakula cha mifugo Jijini Mwanza, Na yeye alianza kama wewe alianza na kuuza mahindi, mtama, uwele, mashudu ya pamba, ya alizeti, dona ya mbwa, dagaa, unga wa...
Mkuu kware wa jamaa yangu wameanza kutaga, Sasa kuna jamaa mwingine anaitwa Joseph yuko Kimanzi Chana anataka kware 500 wa week tatu, nimempatia number yako, mpe ushirikiano ni colleague wangu
Nina mashaka makubwa sana na hili bandiko lako, lakini nikupe benefit of doubt
Je haukubaliani na utendaji wa Mwanaukawa mwenzako Mkosamali hadi uamue kuchukua mikoba yake, Usingeweza kubaki kama mshauri wake tu, na maanisha haukufurahishwa na utendaji wa Mkosamali?..
Nikki bandiko lako limejaa udini na uchochezi wa hali ya juu, siasa hazifanyi hivyo kaka, Tanzania ni zaidi ya CCM na UKAWA sasa kuwa na siasa staarabu.
BTW Mambo Jambo si mwanachama wa chama chochote cha siasa, sijawahi kuwa na chama wala sitarajii.
Makubaliano ya Ukawa ni kuwa na mgombea mmoja wa Urais, kugawana majimbo ya Ubunge na Udiwani kutokana na umaarufu wa chama katika maeneo husika, Jingine ni kuwaacha wabunge walioko sasa kuendelea kuomba ridhaa kwenye majimbo yao, hapa kwa kifupi ni kuwa Muhambwe mgombea ni Felix, Kasulu ni...
Nikki siasa za kupandikiza chuki za Kidini hazita kupeleka bungeni hata siku moja, halafu ni bora viongozi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla wakupe kalipio kali, huwezi kuanza kampeni za ubunge wakati makubaliano ya Ukawa ni kuwaachia majimbo ya upinzani kwa wabunge waliopo, sasa wewe mbona unataka...
Nimeamua kuingia kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji baada ya mradi wangu wa bata maji kwenda vizuri.
Nahitaji mayai 1200 ya kuchi au kuku wengine wa kienyeji, tafadhali wasiliana nami kama utakuwa na mayai hayo, yasiwe na umri zaidi ya wiki moja tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.