Ndugu zangu ili mjue mfa maji heshi kutapatapa angalia serikali hii ya CCM inavyotapatapa. labla tujiulize kwa makini. inaingia akilini kweli kumwongezea mzigo mwananchi kulipia laini za simu wakati mtanzania sasa hivi anakula mlo moja kwa siku. Mwananchi huyuhuyu analipia kusomesha watoto...
Nimeshindwa kumwelewa mchangiaji au mwanzilishi wa mada hii kuwa ati Josephine Mushumbusi anainajisi CHADEMA. Ninachojua mimi kama mwanasiasa, mama huyu akiwa ndani ya chadema au akiwa ndani ya itikadi ya upinzani anapotoa mawazo yake huwa hawekewi mizani kuwa ni mke wa nani au rafiki wa nani...
wakrito hawajakatazwa kuchinja, kama kula nyama iliyochinjwa na muislam kwenu ni dhambi chinjeni mle wenyewe ,ila kaeni mkijua kwamba nyama itakayokuwa imechinjwa na muislam waislam watakula na wakristo wengi watakula,ila nyama iliyochinjwa na mkiristo watakula wakiristo peke yao
mimi namuomba Mh.Mbowe usiulize swali hilo maana watakugeuzia kibao kwamba chadema ni chama cha wakristo na wanadai kuchinja,kama swali hilo ni la muhimu kuulizwa bungeni basi aulize mbunge wa CCM
mawazo mazuri sana ya Pengo serikali iyafanyie kazi haraka kabla hayajapoa,tena kama kutakuwa na kongamano liwe LIVE hata kama litachukuwa mwezi mzima maana huu ndio utakuwa mwisho wa fitina zetu
kwa maelezo ya huyu kijana,ni kwamba kuna kundi wanazo hizi video,kama polisi watakuwa makini miongoni mwa kundi hilo ni Nchemba maana na yeye alisema anayo CD, sasa kwa vipi polisi wanashindwa kuwakamata hawa wenye hizi CD ili waeleze walivyozipata alafu kila kitu kiwe hadharani?
ulichokosea ni kusema kwamba,Zito anamaadui ndani ya chadema hilo si kweli chadema sio kama ccm yenye makundi na uadui. wewe unachotaka kufanya ni kuwaambukisa chadema umagamba
mimi nadhani ili kila kitu kiwe adharani ni lazima polisi wambani Nchemba atoe CD aliyonayo ya watu wanaopanga na kuua watanzania. hivi ili nalo linaitaji kuwaita FBI?
kama kweli polisi watamuoji au kwa namna moja au nyingine kumtaka Dr Slaa kutoa ufafanuzi wa kauli yake kama unavyopendekeza,na kuwacha kumuoji Nchemba ambae alisema anayo CD ya viongozi wa chadema wanavyopanga mauaji,basi tutajua polisi katika nchi hii ni kwa sababu ya ulinzi wa viongozi wa ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.