Nimelazimika kuandika suala hili, naweza kusema mimi mdau wa tasnia ya sheria, mwenyezi Mungu amenisaidia nimezunguka maeneo mengi duniani kikazi nikilitumikia taifa, na nimewiwa kutoa maoni yafuatayo kwa serikali iyaangalie kwa makini.
Suala lenyewe linahusu watu wanaoitwa STATE ATTORNEYS au...
Wandugu, hivi mauaji ya albino Tanzania, yanaweza kuwa na sufficient ingredients za kosa la genocide ambalo limo kwenye sheria ya mkataba wa Roma (ICC statute) ili wat wanaooganise au kuua albino wapelekwe the Hague; since they are only targeting a specific group of persons (though no evidence...
jamani, hivi kimara tuna kosa gani tunakatiwa umeme kila siku kuanzia asubuhi tunarudishiwa usiku saa mbili na nusu tunapotaka kwenda kulala? kwanini kila siku wanakata umeme wakati wametuambia mgao tutausahau, hii karibia ni wiki ya 3 wanakata umeme kuanzia pale kimara mwisho njia ya king'ong'o...
pamoja na kusikia fununu nyingi kwamba tumetengwa na wenzetu wa east africa, watu wengi nimeona wamepata mshituko kuwa pengine Tanzania ikitengwa ndio haitaendelea. Mungu kama tukimuita atatusikia na atatusaidia kwa kutumia bidii zetu kukaendelea na kuwa nchi bora kabisa. kwa msaada wa Mungu...
MALAWI Wameshashirikisha wanasheria wao sana na bila shaka wanayo makundi ya wanasheria wanaoshughulikia suala hili la ziwa nyasa. simaanishi wanasheria wa nje, la, wanashirikisha maprof mbalimbali kutoa sababu za kisheria, sio siasa za maneno ni kwanini wao ndo wanamiliki ziwa na siyo Tanzania...
Ajabu ni kwamba, ili mahakama haki ya umoja wa mataifa ni lazima nchi zote mbili kwenye mgogoro zikubaliane kuwa kesi hiyo ipelekwe, yaani free concent of both state parties to the dispute lazima iwepo kwamba wote wawili watapokea na wanakubali jurisdiction of the court. kama sisi tukikataa na...
Jamani, naomba kuuliza kwa wale wanaofahamu maana halisi ya "MAALIM", kwasababu kwa wale waliomsikiliza kikwete, aliitaja hiyo Maalim kiushabiki fulani hivi sasa mimi sikumuelewa. sina maana mbaya lakini kutu kinachonifanya niwe na dukuduku lazima nikiseme...kwasababu kwa kuongea kauli ile...
Najua niko ambiguous, lakini nilitaka iwe hivyohivyo!
nilishawai kuweka contribution ya post hapa, mmoja akaniomba ile post niiundie thread kwasababu aliona ina mafundisho yanayoweza kuwasaidia wengi, na pia, ni kitu cha kweli from original source. the story goes on like that:
Nilishawai...
WAKUU, kwenu ninyi madaktari na wasomi wengine, hivi maziwa ya ng'ombe na ya soya, yapi yana virutubisho vingi zaidi, tangu nianze kunywa maziwa ya soya, yale ya ng'ombe naona kama siyapendi vile...na afya yangu naona safi zaidi. wataalam mnasemaje kuhusu hili?
point of correction! namaanisha...
Wakubwa, sisi wengine hatupo hapo bongo kwa sasa, kutokana na kazi zetu. Nilikuwa naomba kuuliza, hivi bunge la tz linakaa lini? na kama tayari, WABUNGE WANALIONGELEAJE SUALA LA TZ KUTUMIA MAJI YA ZIWA VICTORIA, kutokana na msimamo wa Misri? tunataka kuwasikia wabunge wakiongea hili. na tunataka...
Jamani, hivi JK amesomea uchumi kweli, mbona hana akili? siku zote akiongelea mambo ya kiuchumi huwa anaboronga mbele za watu na kututilia aibu. Sasa jana anaposema kuwa kwenye soko la Africa, ame include transferability ya masoko ya mitaji, halafu akaeleza kuwa, sasa wakenya au watanzania...
Wakubwa, nimesumbuka sana kuongea na wataliano kwenye makampuni yangu ya utalii hapa Arusha. kwa sasa nimehamia hapa bongo ya Daslam. nataka kusoma kitaliano kidogo, naombeni ushauri, ni sehemu gani bora kuliko zote naweza kujifunza kitaliano walau kwa miezi mitatu hivi. nashukuru wakubwa. Mungu...
Jamani, nilikuwa namsikiliza shehe mmoja hivi wa mkoa wa Dar alipokuwa anawahamasisha waislam wakusanyike mnazimmoja, aliwaambia kuwa, inabidi wakusanyike ili waonyeshe uwingi wao. akiwa na maana, waislam ni wengi kuliko wakristo. plili, kwenye waraka wa waislam, wamesema kuwa, Tanzania ni nchi...
Kondom za hot zilizopigwa marufuku kenya na zambia, zinauzwa hapa tz. nimeona kwenye taarifa ya habari leo asubuhi. mimi sijawahi kutumia kondom, kwasababu sihitaji, nina mke na watoto wetu manake. sasa kazi kwenu washabiki wa condoms, kwasababu kama mlishatumia, nasikia zina vitobo...
Nafikiri watu wengi hapa mnakumbuka vita vya Kagera. wengi walijua tulikuwa tunampiga nduli idi amini peke yake. ila kwa wale wanaokumbuka, Gadafi ndo aliyetuma majeshi toka Libya, ambayo tulikuja kuyanyuka, nakumbuka miaka ile wanajeshi wengine walifungwa vitambaa wakapelekwa hadi kule kwa...
Jamanieee, nasema toka moyoni kabisa, sisemei kwa unafiki. kuna tatizo hapa. DADA ZANGU WAWILI wameolewa kwa waislam. wote wanaishi hapa hapa dar, na wamezaa nao watoto zaidi ya watatu kila mtu. nawapenda sana watoto wale, shemeji zangu na dada zangu tunashirikiana vizuri tu.
HIVI MAHAKAMA YA...
wajameniee, ninayo laptop yangu, nafanyia kazi kila siku, lakini chaajabu karibia wiki moja, key zake haziklick, hivyo nashindwa kuandika. hivi nifanye nini ili key za keyboard ya laptop ifanye kazi tena? je, kuna bandia naweza weka? sina uwezo kuifungua. msaada kwa ushauri nifanyeje, au kama...
Jamanie, why not Uganda change the route to Tanzania, I think this is a very good opportunity for Tz to modify its roads and if possible a railway so that in stead of Kenyans taking the railway as a weapon to Uganda, they can now be free to pass their goods kupitia Kenya au Tz. Museven, till...
Jamani, hivi kwanini watz wengine hawaonekani kuwapinga mafisadi? nikianza na Game theory aliyeko humu ndani, nakuja kwa sophia simba yule anayejifanya kusali makanisa ya kilokole kumbe anawaaibisha walokole bure, mkuchika na kikwete?
Nikianza na kikwete, kwanini anapata kigugumizi...
Jamani, mtoto aliyepigwa na baba yake kule Musoma hadi kufa kwasababu ameiba mayai ya shs.300, ni kitendo cha ajabu. wengi wamerespond kwenye hii kitu kuwa, ni kwasababu wakurya ndio tabia yao kupiga. Mimi nimekuja na jicho la tofauti, MTOTO YULE ALIIBA KWASABABU ALIKUWA NA NJAA. Baba yake si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.