Search results

  1. Mwana wa Mungu

    Serikali yapoteza State attorneys kila mwaka

    ni kikundi cha watu hata 20 hakifikii ndio wanahusika na hiyo mikataba, mawakili wa serikali ninaoongelea ni hawa walioko chini ya DPP, wanaoendesha kesi mahakama ya wilaya/mkazi na mahakama za juu. sio wale wa juu, wale hawana shida. hawa ni watoto ambao wanapambana na waganga wa kienyeji...
  2. Mwana wa Mungu

    Serikali yapoteza State attorneys kila mwaka

    kada zote ni muhimu?...kama wewe ni mwalimu unapoenda kufundisha, polisi anaenda kurushiana risasi na jambazi na anaweza kuuawa akifanya mchezo, polisi anakulinda wewe. wakati wewe mwalimu au kada nyingne wanafanya kazi za kawaida, wakili wa serikali amepewa kuendesha kesi ya jambazi sugu...
  3. Mwana wa Mungu

    Serikali yapoteza State attorneys kila mwaka

    mkuu, askari wanalipwa risky allowances laki tatu unusu kila mwezi. mwalimu sio sawa na askari, mwalimu sio sawa na wakili wa serikali. hawa ni watu ambao umuhimu wake utauona siku majambazi wakikuvamia, wakabaka mkeo na watoto wako, wakawakata mapanga, wakakamatwa, wakili wa serikali akatakiwa...
  4. Mwana wa Mungu

    Serikali yapoteza State attorneys kila mwaka

    Nimelazimika kuandika suala hili, naweza kusema mimi mdau wa tasnia ya sheria, mwenyezi Mungu amenisaidia nimezunguka maeneo mengi duniani kikazi nikilitumikia taifa, na nimewiwa kutoa maoni yafuatayo kwa serikali iyaangalie kwa makini. Suala lenyewe linahusu watu wanaoitwa STATE ATTORNEYS au...
  5. Mwana wa Mungu

    Bunge la Kenya laamua nchi kujitoa katika mahakama ya ICC.

    nilishangaa kuona jana kenya wanapeleka mswada bungeni kuamua kama wajitoe kwenye mkataba wa Roma wa ICC au la. nilishindwa kuelewa hasa pale wengi wao wakiwa wabunge walivyokuwa wanaongea kwa comfidence kabisa kuwa, kama watafanikiwa kujiondoa, watakuwa huru kama ilivyo kwa israel, china...
  6. Mwana wa Mungu

    can killing of albinos suffice crime of Genocide?

    Wandugu, hivi mauaji ya albino Tanzania, yanaweza kuwa na sufficient ingredients za kosa la genocide ambalo limo kwenye sheria ya mkataba wa Roma (ICC statute) ili wat wanaooganise au kuua albino wapelekwe the Hague; since they are only targeting a specific group of persons (though no evidence...
  7. Mwana wa Mungu

    Mgao wa umeme Kimara mwisho, tuna kosa gani sisi?

    jamani, hivi kimara tuna kosa gani tunakatiwa umeme kila siku kuanzia asubuhi tunarudishiwa usiku saa mbili na nusu tunapotaka kwenda kulala? kwanini kila siku wanakata umeme wakati wametuambia mgao tutausahau, hii karibia ni wiki ya 3 wanakata umeme kuanzia pale kimara mwisho njia ya king'ong'o...
  8. Mwana wa Mungu

    KASHFA Strabarg na ujenzi DSM

    hivi jamani, tuseme ukweli, tz ikifungua milango yote, hata kama tukaamua kuliweka suala la ardhi free kwa east africa wote, nani atapata hasara? nchi gani itakuwa kwa kasi kuliko zote katika easta africa hiii? wapi patachanua kuliko kote katika ukanda huu, hebu nielimisheni jamani mimi sikusoma...
  9. Mwana wa Mungu

    Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

    sina uhakika na hili, kama uganda wanapata hizo silaha toka israel, kwanini na sisi watz tusifanye dili tupate silaha toka hukohuko israel au toka mataifa mengine kama china na kwingine, kwani kupata silaha ni jambo la kutisha sana? kama wenzetu wakipata silaha toka israel, sisi pia tunaweza...
  10. Mwana wa Mungu

    Rwanda, Kenya & Uganda Kujenga Reli ya Mombasa-Kampala-Kigali kwa $13bn/-!

    dah, hivi bongo itakuja kufikia hali hiyo hapo lini?nikapand train ya aina hii toka dar kwenda mbeya au kwenda kigoma, jamani jamani...hahaha. kinatushinda nini wabongo kufanya haya, hadi leo bado tunaagiza hata vipuri vya gari moshi...
  11. Mwana wa Mungu

    KASHFA Strabarg na ujenzi DSM

    hata mimi nikiwa na shule yangu ya watoto (english medium) nitaajiri wakenya, wabongo wanaojua kingereza wako wapi, unataka waniharibie watoto wangu? watoto wasijeanza kuongea kiingereza cha kiswahili bure.
  12. Mwana wa Mungu

    Rwanda, Kenya & Uganda Kujenga Reli ya Mombasa-Kampala-Kigali kwa $13bn/-!

    kuna jamaa aliwahi kuleta uzi hapa kuwa tunaweza na sisi kutumia gesi kuendesha train, au kama si gesi tunaweza kutumia umeme utakaotengenezwa na gesi ili train zetu ziwe za umeme. nimeikuta hii huko kenya tayari uhuru anafanya vitendo, wala si maneno matupu. tutakuwa na gari moshi hadi lini...
  13. Mwana wa Mungu

    Rwanda, Kenya & Uganda Kujenga Reli ya Mombasa-Kampala-Kigali kwa $13bn/-!

    Kenya, China quietly strike deal on modern railway lineChinese-built railway line will carry freight trains at speeds of up to 80 kilometres per hour and passenger trains at up to 120 kilometres per hour. It will be completed in five years. Nation Media Group IN SUMMARY The railway line...
  14. Mwana wa Mungu

    Kenya, Uganda and Rwanda agree joint visa to promote tourism

    tuwaache tu waendelee na joint visa, hata EU kuna joint visa ya schengen lakini Uingereza haipo pamoja na kwamba wapo EU. hivyo tusitishwe.
  15. Mwana wa Mungu

    KAGAME KILLED LAURENT KABILA! did you know that?

    given the analysis, the guy looks was so close to kagame and knows most of his secrets though. pamoja na kwamba si vizuri kuamini kila anachosema, ila hii inaonyesha namna gani watu ambao mlikuw apamoja sana mkaja kugombana namna mnavyoweza kugeukana. jamaa kamgeuka kabisa kagame kama umesoma...
  16. Mwana wa Mungu

    KAGAME KILLED LAURENT KABILA! did you know that?

    we should put an end to this koba, unajua vyombo vya habari vinaweza kuwa move viongozi wetu hata kukuza huu mgogoro tukafika pabaya kwasababu tu ya wachochezi. rwanda na tz ni majirani tunatakiwa kuishi kwa amani na ushirikiano, tunaishi kwa kufaidiana.
  17. Mwana wa Mungu

    Tz ijitoe East Africa, ijiunge na SADC

    mbona uingereza imejiunga na EU lakini ni kwa mambo kadhaa tu, si kwa kila kitu. mfano ni kwenye pesa yake ya pound starling na kwenye schengen visa. hata tz tunaweza kuendelea kuwa marafiki na kujiunga na wenzetu lakini kwa reservations kadhaa. kwamfano ardhi lisiwe jambo la wote. kama watasema...
  18. Mwana wa Mungu

    KAGAME KILLED LAURENT KABILA! did you know that?

    hebu tumwache huyo kagame jamani, tufuate ushauri wa Mbowe jana bungeni, kugombana na majirani zetu haitusaidii hata kidogo, hatutapata hasara yeyote tukijifanya wajinga siku ipite.
Back
Top Bottom