Search results

  1. K

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Hello..mwenye pdf ya Arusha mjini atupie tafadhari.
  2. K

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Nyie mmeulizwa ngoma ngumu...sehemu nyingine taja jina la diwani..mtendaji..Sensa ya mwisho..jukumu la karani
  3. K

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Kesho maswali yatakua nondo hatari..heri yenu mlofanya leo..wengine wameturudisha mpaka kesho.
  4. K

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Tuendelee kuvumilia hakuna marefu yasiyo na ncha,Ila tujue kuna kupata na kukosa yote ni matokeo katika hili japo hakuna alieomba ili akose.
  5. K

    Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

    Topic unachagua mwenyewe..tuliomba direct chuo na utumishi walokuwapo kusimamia tu ila oral wanakua wale doctors ndo wanauliza maswali..hr na secretary pia academic wa chuo husika anakuwapo.Panel ilikua na watu 7 na tuliitwa watano tu.Walianza na maswali general after that nkaona umeletwa...
  6. K

    Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

    Nliwahi kufanya udom..written ilikua research na pia kuandika topic ktk masomo husika.....oral unapewa nafasi ya kufundisha topic unayochagua mbele ya panel umeweka kabisa na ubao kama lecture.
  7. K

    Inachukua muda gani kupata mafao ya kuacha kazi NSSF?

    Vipi kuhusu fao la ukosefu wa ajira psssf kwa mtu aloachishwa kazi baada ya kuchangia miezi 14 na ana mwaka tangu aachishwe ila sasa Ndo anataka kufuatilia.Bado hana ajira nyingine.Msaada wadau.
  8. K

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Mengi yatasemwa ila mbivu na mbichi itajulikana soon.
  9. K

    Mwenye post graduate ya sheria anaruhusiwa kwenda law school?

    Hujaelewa nlichomaanisha,,soma vizuri post nloikosoa,alikua anamaanisha Mzumbe kuna baadhi ya hizo core course 16 zilizoorodheshwa LST kua hawasomi na ndo nlichopinga,ambao wanaingia LST wanasoma course zote wote kwa pamoja kama ulivosoma so nlichoandika hakuna uongo ila hukuelewa nlikua...
  10. K

    Mwenye post graduate ya sheria anaruhusiwa kwenda law school?

    Mkuu fanya utafiti kabla ya kuandika vitu ukapotosha umma,,alokwambia Mzumbe hawasomi core course 16 zote zilizoorodheshwa law school ni nani? core course zote 16 Mzumbe wanasoma na mpaka sasa wapo waloingia cohort ya 23 na hawapaswi kusoma hizo core course upya.
  11. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    Vigezo vya kuomba mkopo kwa wanafunzi wa Law School of Tanzania ni shida asee, pia HESLB wameondoa meals and accommodation allowance,pia field practical allowance kwa wanufaika wa mkopo Law School wakati mwaka jana walikua wakitoa mkopo katika hayo masuala hivyo yabidi hilo suala liangaliwe upya.
  12. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    Page no ngapi wameongelea hilo suala la div 1 an 2 katika Guidline ya HESLB mkuu?
  13. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    Ila mkuu course nyingi za arts hua ni non priority course eg LAW ila baadhi ya watu wamekua wakiomba na kupata tena kuna ambao wanalipiwa hadi asilimia 100 kutegemea na vigezo alivonavyo.
  14. K

    HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

    Kwa wale wa arts kama una vigezo vinginevyo usisite kuomba(kwa mfano yatima usiejiweza na una uthibitisho n.k) kwani course nyingi za arts si mwaka huu tu ndio zimekua non priority ila baadhi ya watu wamekua wakiomba na kupata mkopo hata bila kutumia njia zisizo halali hivyo inategemea,hivyo...
Back
Top Bottom