Dawa ya twiga ni dawa ya kwenye pamba ni kali sana kunguni hawawezi kustahimili, lakini mimi nili experience ikiwapiga hiyo wanakimbilia darini na kwenye taa
Charges zao pale sea view ni kubwa na NHIF hawako tayari kulipia na kuepusha migogoro hawapokei NHIF sio hao tu hata Saifee pale karibu na namanga nao hawataki NHIF na ishu ni swala la malipo hao jamaa ni wagumu kulipa
mwalimu pamoja na ukatoliki wake ila alikuwa mwamini mizimu ya kwao, uzuri Mungu apokei rushwa michakato ya kibinadamu haiwezi kumfanya Mungu amtoe huko kuzimu alipomtupa.
tatizo aina ya misimamo yake haitakiwi kwa sasa, kwa hii trend inavyoenda inatakiwa kifanyike kila kinachowezekana kuhakikisha mtu anabaki magogoni kwa gharama yoyote ile regardless what hata kama ni kwa kuweka kila oil chafu kwenye position muhimu ili ndoto za mtu na genge fulani zitimie tu
ULAFI WA FEDHA "SADAKA", UCHU WA MADARAKA, MAJUNGU, VISASI NA HILA CHANZO CHA MIGOGORO INAYOIDHOOFISHA MAKANISA YA KIPROTESTANT HUSUSANI KKKT. JE NINI KIFANYIKE?
Na Remmy Cameroon
Nimesema mara si moja na leo narejea tena kusema hili peupe. Zipo sababu nyingi sana za migogoro ndani ya Kanisa...
sawa mkuu ila ukihesabu kuanzia jumatano ya majivu tarehe 2/3/2022 siku ya arobaini inaangukia tarehe 8/4/2022 na pasaka yake 10. kwa tarehe ulizosema ni zaidi ya siku 40
Wakuu heshima mbele,
Binafsi nilikuwa nataka kujiridhisha kwa usahihi zaidi ijumaa kuu ya mwaka huu na pasaka yake itakuwa tarehe ngapi hasa.
Ikizingatia jumatano ya majivu ilianza tarehe 2/3/2022 na kwa mfumo uliozoeleka wa mfungo wa kwaresima huwa ni siku 40 na kwa hesabu hiyo ya siku...
Pale mbezi stand ya daladala kuna watu wanazinywa hizo mpaka wanatia huruma hasa wale wapiga debe wa mabus makubwa wamedhoofu sana na sura zimechakaa hasa
mbwa hafi kwa sumu ya panya hata mie binafsi niliishia kwenda kumtupa mbali hakurudi tena mpaka tukahisi wauza mishikaki ya magumashi wamelala nae mbele
Nakumbuka niliwahi kufanya kazi na kampuni ya wachina kubwa tu supplier wakubwa wa tiles hapa tz na africa mashariki laikini ajabu sisi wabongo tunaolipwa mshahara wa laki tatu mchana tunaagiza chipsi kuku, birirani lakini mabosi wachina wanakula ndizi mbivu au nyanya tu
Niliwahi sikia miongoni mwa sababu zilizokuwa zinakwamisha ujenzi wa barabara ya kusini tokea dsm ni haya mambo, wakandarasi walipata nayo tabu sana na kingine kulikuwa na mradi wa kuongeza kina cha bandari ya lindi na kwenyewe mauzauza yakakwamisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.