Taarifa yake ilitoka muda tu. Labda ilikupita.
Ni kweli tuliununua uwanja wa Gwambina na hostel zake zote kwa ajili ya kuutumia kwenye programu zetu za vijana na timu ya wanawake.
Kwa sasa umetufaa kuutumia kwa senior team kwenye maandalizi ya mechi za Ligi baada ya CCM Liti kufungiwa.
Watu wa Soka,
Leo nimewakumbuka humu. Bila shaka mko poa!
Dirisha Dogo limeshafunguliwa na timu zote ziko mbio mbio kufanya maboresho kwenye vikosi vyao. Sio jambo baya lakini sio shurti.
Kwa mfano Singida Fountain Gate ni miongoni mwa timu ambazo tulifanya usajili wa kiufundi sana Dirisha...
Duh hili bandiko limefika hadi huku? Nimechelewa kuona.
Ndugu WanaJF,
Kwanza niwashukuru kwa maoni na mjadala huu, hata hivyo nasikitika kuona kuna kurasa feki zinatumia jina la timu yetu kuchapisha taarifa za upotoshaji na kusababisha taharuki. Kwa mfano ukurasa huu wa Facebook sio wetu na...
Mimi kazi yangu ni kueleza ukweli na kuondoa upotoshaji unaoharibu image ya klabu. Wewe kazi yako ni kupiga blah blah mitandaoni kufurahisha nafsi. Sina majibu ya kukufurahisha mkuu na sipo hapa kukulazimisha chochote!
Sasa mbona unaleta blah blah na personal attacks? Haya yote ni marudio, bado hakuna ushahidi wa haya yaliyosemwa na kocha ndio maana anakuwa muoga wa kuweka claims zake kwenye maandishi na kutuma kwa uongozi. Ni media propagandist kama wewe.
Wewe umeandika kwa mihemko na hujui hata unachokitetea.
1. Hatujawahi kusema popote kuwa ameenda kutatua matatizo ya kifamilia. Hii umeitoa wapi?
2. Unauita ukweli kwa ushahidi upi? Au kitu akisema mzungu kwako ndio ukweli? Hasara.
3. Bado unaandika kikasuku kwa kurudia maneno ya tuhuma yasiyo...
Mmiliki wa timu anafahamika ni Japhet Makau, Mkurugenzi wa Fountain Gate. Ndio sababu hata timu imebadili umiliki wa jina na kuitwa Singida Fountain Gate. Kumtaja mtu mwingine ni katika kutafuta attention tu nadhani ndio sababu akakimbilia kwenye vyombo vya habari. He is not stupid!
Salaam,
Nimeona mijadala mingi humu ikizungumzia sakata la kocha wetu ambaye amenukuliwa na vyombo vya habari nchini Afrika Kusini kuhusu sababu za yeye kuondoka kambini.
Kwa upande wa klabu bado hatujasema chochote, taarifa yetu ya awali tulitoa kuhusiana na yeye kuondoka kambini kwa sababu...
Zinatoka mara moja tu kwa mwaka baada ya tathmini kufanyika. Na ukifuatilia, wote wanaopewa wanastahili.
Mfano siku moja akipewa msanii Diamond Platnumz utaona hastahili?
Binafsi naona ni jambo jema kuwatambua watu wanaofanya mambo makubwa kwenye jamii na kuwapa heshima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.