Waliokuwa Katika Picha Hii na Ndilo lilikuwa Baraza la Wazee wa TANU
(Wengine: Hawapo)
[*=left]Abdallah Shomari (Tandamti No. 3)
[*=left]Nassoro Kalumbanya (Simba)
[*=left]Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo)
[*=left]Mtoro Ally (Muhonda)
[*=left]John Rupia (Misheni Kota)
[*=left]Julius Nyerere...
Mkuu Remote umemsahau Ngongo Pasco Mkuu hii thread imemdhalilisha Mohamed Said kwa kiwango cha kutisha.Ameshindwa kutetea hoja za msingi.Wapo mashabiki wake kama Ritz Barubaru THE BIG SHOW Boko haram zomba wamejitahidi sana kumtetea babu wa watu asizidi kudhalilika lakini wamejikuta wakishindwa...
Mkuu Paulo MSALABA Zanzibar hajafikia hadhi ya kuitwa mkoa,takwimu za sensa ya mwaka 2012 zimebainisha Zanzibar ina idadi ya 1,300,000 tu hii ni sawa na idadi ya watu wa wilaya ya Kinondoni tu.
Mkuu masopakyindi SUK walifanya mabadiliko ya katiba ambayo yalikuwa yakiondoa ama kupunguza mamlaka ya Rais wa JMT.Mheshimiwa Lissu akaliona hilo akapiga kelele mjengoni yule Mama anayekalia kiti cha enzi cha mjengoni (nisije nikala BAN) maana jina lake nimelisahau kidogo akalikalia,wabunge wa...
Mkuu masopakyindi uhani na ugaidi vitu viwili tofauti.Uhaini ni hali ya kutaka kupindua serekali kwa kutumia mbinu chafu (kinyume na sheria)
Ugaidi ndiyo huo unaoendelea Zanzibar Uamsho,Nigeria Boko Haram,Somalia Al Shabab Palestine Hamasi na Mali MNLA ......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.