Mwanzoni tulijua kuwa CCM Hawataki kwa kuhofia wanachama wengi wataondoka CCM na kugombea uongozi mbalimbali kwa bendera ya mgombea binafsi
Jinsi hivi vyama vinavyozidi kukua na mission zao kuendelea kujulikana kwa watu kuwa ni wahuni tu vinajianika
leo hii CHADEMA chama ambacho...
Kutoka mwaka 2009 miaka mitano tangu chacha wangwe walipotoa waraka kuhusu chadema Zitto alitaka akugombea uenyekiti lakini kwa mshangao na kwa sababu ambazo zinajulikana na wengi, Zitto hakuweza kugombea uenyekiti, il akapewa vyeo alivyopewa
Tangu kipindi hicho cha mwaka 2009 Zitto alionekana...
Hakuna kosa kubwa linalofanywa na kizazi hiki kama kuwa washabiki wa kila kitu na kuficha na kushindwa kufikiri kwa sababu ya chuki na wivu
Si kazi ya zitto kutaja majina ya walioweka fedha nje ya nchi, si kazi ya zitto kutaja account number zao. Kazi ya zitto ilikuwa ku-ALERT na kama kutaja...
ilimchukua miaka kumi Kikwete na Lowassa kuwahadaa CCM na watanzania kwa kuandikwa vizuri sana kila kona, ilipofika kipindi cha uchaguzi mkuu, 2005, Kikwete alikuwa juu sana ya mtazania yeyote kwenye swala la urais...........alipendwa kila kona
chacha wangwe alipotaka uongozi wa juu wa CDM...
Zitto anapendwa na kila rika, kila mtu na anapendwa na jamii
uwezo huu na sifa hii hakuna aliyenayo mwingine ndani ya CDM, wivu huu wa kisiasa umefikisha hapa tulipo
kama magufuli na mwakyembe wanavyopendwa na hata wasio wana CCM wakiwamo chadema, Zitto anapendwa na kila mtu anayelitakia mema...
Bungeni; swala la ugaidi chadema ndio walioanza kusema kitu ambacho hakikutakiwa kusemwa hata kidogo. CHADEMA pamoja na kuwa zengwe lote hili laweza kuwa ni mbinu, bado there is no execuse za kuruhusu mbinu hizo na leo kuwa wahusika wakuu wa kesi kama hii
Iko hivi.....Mwigulu tutamtukana matusi...
Saying hallow to you in the last day of the year is not by chance
Count it is miracle to have me in your forums
Though my name is inferior I am shining like a star
My brain is wow
My i come in please? I am expert in almost every area.....ha ha haaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.