wanaoleta utani waje mtwara waone mafisadi wanavyopishana kuja kushuhudia dhahama iliyopo huko msimbati.ardhi inadidimia na bahari inafuata mahali penye mitambo ya gesi.ccm mmenoa .
Wakazi wa mtwara tunapanda magar tunakuja kuwasaidia komaa nao mpaka jion tutakuwa tmefka.musichokee tatzo leo nyie watu wa dar ni waoga sana...tukifka ngoma mpaka magogoni
Takribani miezi miwili sasa huduma za kibenki ya NBC tawi la mtwara zimekuwa ni kero na usumbufu mkubwa kwa sisi wateja wao tunaotegemea huduma toka kwao.Lakini kwa mshangao mkubwa wakati hali hii ikiendelea hamna taarifa au jitihada zozote zinazofanywa ili kutatua hali hii. Unaweza ukafka ndani...
Kwa mara nyingine tena asubuhi hii mji wa mtwara umekumbwa na milipuko ya mabomu kuwatawanya madereva pikipiki waliokuwa wanaandamana kupinga unyanyasaji unaodaiwa kufanywa na polisi.
Wanajeshi wameanza kushika doria katika maeneo kadhaa ya mji huu huku maduka ktk soko kuu yakiwa yamefungwa...
Nyumba ya diwani wa kata ya likonde iliyopo manispaa ya mtwara mjini,bwana mohsin komba(ccm) jana ilipigwa mnada na benki ya crdb.Hatua ya kupigwa mnada nyumba io inatokana na kudaiwa na benk io na yeye kushindwa kurudisha deni alilokuwa anadaiwa.Katika hali iliyowashangaza wengi wakati nyumba...
Taarifa za uhakika zinasema kuwa kuna difenda 15 zimetoka dar usiku huu na zitaingia mtwara usiku huu ili kuja kuongeza nguvu kwa wenzao wa mtwara.lakini mbona hali hio haijafikia kama ambavyo polis wanavyofikiria?inaonekana wanataka kutumia nguvu nyingi bila sababu. Kwa wale walio mbali na...
Mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake ameuwawa kwa kupigwa na risasi na polisi.tukio limetokea leo saa kumi jioni baada ya wanakijiji kufunga barabara kwa magogo wakidai malipo yao ya pili ya korosho hatua iliyomlazimu mkuu wa wilaya kwenda kuzungumza nao.baada ya mkuu wa wilaya kuondoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.