Search results

  1. Malafyale

    Msaada: Mke wangu anajisaidia choo chenye harufu kali

    Kichwa cha habari hapo juu chajieleza wazi kabisa. Nilienda kuoa mke wangu kijijini kwetu Kafyofyo Kyela kisha tukaja hapa mjini Dar ninapoishi. Awali sikuwahi kuishi na mke wangu nyumba moja hadi alipokuja hapa kwangu Dar na ndipo nilipo gundua mengi sana. Mke wangu akienda msalani kujisaidia...
  2. Malafyale

    Mchumba wangu anajamba sana akiwa usingizini

    Natangaliza shukrani zangu kwenu hasa kama nitasaidiwa kwa ushauri niende wapi hapa Dar kupata matibabu. Mchumba wangu na mm wote tunatoka kijiji cha Mwaya-Kyela ya vijijini.Baada ya kumaliza Chuo ndiyo nikaenda kijijini kumchumbia kisha mm nikarudi Dar kuendelea na kazi wkt taratibu za harusi...
  3. Malafyale

    Nani kaitoa topic ya World Cup live iliyofikia pages 270?

    Kulikuwa na bandiko lililo fikia hadi page 270 linalohusu matukio ya mechi zote za World Cup 2014!Mm na wenzangu tulikuwa tunaburudika kwa kuandika kile tunacho amini ndiyo kinatokea Brazil.Lkn ghafla topic hiyo imeondolewa bila sababu za msingi! Nasema imeondolewa bila sababu za msingi sababu...
  4. Malafyale

    Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi kuendelea kuwa Mwenyekiti wa KRFA ni sawa?

    Mwenyekiti wa chama cha mpira wa Miguu Mkoa wa Kagera (KRFA)Jamal Emil Malinzi akizungumza na Wajumbe waliojitokeza katika mkutano huo wa Utekelezaji wa Chama cha Mpira wa Miguu (KRFA) Mkoa wa Kagera, Ambapo pia alizungumzia swala zima la kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho, Mkutano...
  5. Malafyale

    Tukumbushane Marefa wa zamani walijua kupuliza kipyenga!!

    Mpira unanogeshwa na vitu 2 tu:kwanza ni umahiri wa teams zinazochuana dimbani na pili ni umahiri wa refa wa katikati na ma linesmen wake!Siku hizi marefa wetu ni hovyo hovyo tu! Mimi naanza na Marefa HAWA za zamani walikuwa hodari sana na walimudu kazi zao: Khasim Walele Chona-Mwanza David...
  6. Malafyale

    Mshahara wa Katibu Mkuu CCM ni shilingi ngapi kwa mwezi?

    Wadau! Nipo kwenye maandalizi ya kuandikia assertion yangu binafsi kuhusu Tanzania:Political Empowerment in human services(Sub-section: Secretary Generals of First and Second largest parties in our National assembly).Nipo kwenye hatua za mwisho za kukusanya data nianze mchakato kamili. Lkn...
  7. Malafyale

    Ahadi hizi za Serikali Mtwara ni kwa bajeti ipi? Hii hii ndogo ya Trillion 11?

    Nimesoma ahadi hizi za Serikali kuwatuliza wana Mtwara kwenye vyombo vya habari;Mawaziri walio ambatana na PM Pinda wamesisitiza ahadi hizi baadhi zitatekelezwa kabla ya uchaguzi 2015: Kujenga reli ya kuunganisha Mtwara-Mchuchuma-Liganga hadi Mbamba Bay Kupanua kwa bandari ya Mtwara kuruhusu...
  8. Malafyale

    Upinzani MSIENDE Arumeru bila kuboreshwa daftari la wapiga kura!

    Akijibu hoja hiyo, kamishina wa NEC Profesa Chaligha alisema,"Kuhusu uandikishaji mpya wa wapigakura alisema jambo hilo haliwezekani kwa sasa na kusisitiza kuwa watakaoruhusiwa kupiga kura ni wale tu waliomo kwenye Daftari la mwaka 2010 na kusisitiza kuwa jambo hilo ni la kisheria"(Mwisho wa...
  9. Malafyale

    Majaji hawa 7 ndiyo adui wa demokrasia TZ

    Majaji hawa 7 wa Mahakama ya Rufaa wakiongozwa na aliyekuwa Jaji Mkuu Augustino Ramadhan,akisaidiwa na majaji wenzake 6 ambao ni Eusebio Munuo, Januari Msofe, Benard Luanda, Mbarouk Mbarouk, Nathalia Kimaro na Sauda Mjasiri;hapo Juni 16, 2011 walikataa TZ isiwe na mgombea binafsi tena...
  10. Malafyale

    Vipengele vya 'kishetani' ndani ya katiba ya NCCR!

    Hawezi kukata rufaa ""Mwanasheria wa NCCR Mageuzi, Dk Sengondo Mvungi alisema Kafulila hawezi kukata rufaa sehemu yoyote dhidi ya uamuzi wa kumfukuza uanachama kwa mujibu wa kanuni ya 7 (2) ya chama hicho. Kanuni hiyo ya 7(2) ya nidhamu na usuluhishi sehemu ya (d) inaeleza kuwa, baada ya...
  11. Malafyale

    Nape: Sikuwahi sema kuwa Mafisadi wataondolewa CCM baada ya siku 90

    Haya ndiyo maelezo mapya ya Nape kuhusu ahadi yake kwetu ya kuwavua gamba mafisadi 3 vigogo ndani ya CCM ifikapo July 10;Nape alitamka maneno haya" hopeless" jana wakati anazungumza na wahariri wa magazeti ya Mwananchi Communication LTD. Kuhusu watuhumiwa wa ufisadi na siku 90 walizopewa...
  12. Malafyale

    Mbunge wa CUF Magg Sakaya na wenzake warudishwa rumande Urambo!

    Wajumbe wanne wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), na maofisa wengine saba wa chama hicho akiwemo Mbunge wa Viti Maalum (Tabora), ambaye pia ni Katibu wa Wabunge wa CUF, Magdalena Sakaya, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Urambo mkoani Tabora kwa shtaka la...
  13. Malafyale

    Ndesamburo afutiwa kesi ya Uchaguzi Moshi Mjini!

    Aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Moshi Mjini kupitia chama cha Mapinduzi (CCM), Justin Salakana, amefuta kesi ya kupinga matokeo yaliyompa ushindi Mbunge wa sasa, Philemon Ndesamburo (Chadema) katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi. Wakili wa Salakana, Elizabeth Minde, alimweleza...
  14. Malafyale

    Serikali yatumia Milion 176 kupongeza ushindi wa JK na Dr. Shein!

    Elizabeth Suleyman - Gazeti la Mwananchi SERIKALI kupitia taasisi zake, imetumia zaidi ya Sh176 millioni, kugharimia salamu 217 za pongezi katika vyombo vya habari , utafiti wa shirika moja lisilokuwa la kiserikali umeonyesha. Kwa mujibu wa taarifa ya shirika hilo la Sikaka kwa vyombo vya...
  15. Malafyale

    Bunge letu na Muswada wa kudhibiti wachawi kwa faini ya Milion!

    Serikali inakusudia kupelaka muswada ktk kikao kijacho cha Bunge ili kuongeza adhabu kwa watu wanaokutwa na makosa ya uchawi, ikiwamo kutozwa faini ya Sh1 milioni na kifungo jela. Akichangia maoni yake, Mbunge wa Singida Kusini, Tundu Lisu, ambaye kitaaluma ni mwanasheria, alionyesha shaka...
  16. Malafyale

    MB Zitto Kabwe na ripoti 2 za uchungu kwa sisi Watanzania!

    Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya UMMA(POAC) Mbunge Zitto Kabwe leo katupasha habari 2 za kusikitisha sana sis Watanzania; Mosi;Tanzania lost USD 308m(Approx billion 450 in TZ shilling) as tax revenue from sale of Zain Africa assets in Tanzania to bhartel. Kasema wazi kuwa Source...
  17. Malafyale

    Mwinjilist Aliyeshambuliwa kwa Kukashifu uislam Afariki!

    MWINJILISTI wa Kanisa la Pentekoste la Mto wa Mbu, Jackson John ambaye alikuwa mmoja kati ya waliojeruhiwa kwenye mapigano baina ya waumini wa madhehebu ya kiislamu na kikristo yaliyotokea Februari 24 wilayani Monduli amefariki dunia. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na ndugu wa mwinjilisti...
  18. Malafyale

    Serikali ya CHADEMA ni kubwa mno!

    Hata kwenye kampeni za kugombea U-Rais mwaka jana,mgombea wa nafasi hiyo kupitia CHADEMA Dr Slaa alikuwa akitusisitizia umuhimu wa Tanzania kuwa na serikali ndogo isiyozidi mawaziri 15 na kwa kweli mm binafsi nilikubaliana na yeye kwani kama utakuwa na baraza dogo la mawaziri ni dhahiri utaokoa...
  19. Malafyale

    ZNZ hawafuati uwiano wowote kuunda serikali ?

    Rais Dr Mohamed Shein Makamu wa I wa Rais Maalim Seif Khatibu (CUF) Makamu wa II wa Rais Balozi Seif Iddy Katibu Mkuu Kiongozi Katibu Mkuu Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee Spika wa Bunge Mzee Kificho Mkuu wa JKU Kanali Sudi Halj Khatibu Mawaziri na Manaibu Mawaziri Dr Mwinyihaji...
  20. Malafyale

    Polisi Tanzania walalamikia UDUNI wa makazi yao

    Source:Gazeti la Habari leo(January 8,2011) ASKARI Polisi wameiomba Serikali kuangalia jinsi ya kuboresha nyumba wanazoishi walinzi hao wa Usalama wa raia kutokana na kile walichodai zimechakaa kupita kiasi na kwamba hali ya sasa haioneshi kuwa zinafaa kukaliwa na binadamu. Askari hao...
Back
Top Bottom