Kwa hivi sasa bei ya mahindi maeneo mengi imeporomoka sana, kule Tarime naambiwa gunia la mahindi la kg 108 linauzwa 35,000/-, kwa hali hii ya mkulima itaendelea kuwa duni miaka yote.
Kama mtu amewahi kuajiriwa serikalini akafukuzwa kazi au kuacha inakuwa ngumu sana kurudi kuajiriwa serikalini, hii ina lengo zuri la kuwafanya watumishi watulie sehemu moja na wasiache ache kazi.
Hapo nyuma serikali ilikuwa inatumia mfumo wa Lawson kuwadaka watu waliowahi kuwa waajiriwa na...
Nani kakudanganya hivyo, hata zawadi ni matrimonial property.
Mali yeyote ambayo mwenza anaipata akiwa kwenye ndoa inakuwa inamilikiwa na wanandoa wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.