Na walioumia kanisani st Joseph katika mlipuko wa kwanza ni misukule wa nani? huyu jama ni kichaa eti! Huyu ka Nape vile na pua lake la mchongoko ka la mwarabu,lione! Jitu halina hata huruma!
Kaalikwa na matajiri? Nani anamlipia gharama za safari na starehe zake huko kama si Watanganyika? Maana wale wa nchi jirani ya Zanzibar ni Maskini zaidi, kwa safari hizi za jk hawawezi kumudu gharama! Siku moja atajibu kwa matumizi mabaya ya mali za umma!
Kwamba mbunge mmoja wa CCM jana alikatiza hotuba ya kambi rasmi ya upinzani akidai imejaa uchochezi hali iliyosababisha kusimama kwa kikao cha bunge. Kile walichotaka tusikisome,maana kama ni kujua tayari tunajua mambo yanayofanywa na serikali nyuma ya pazia,sasa kipo katika mitandao na kwa...
Wabunge wa ccm,ambao hamkutaka tuisikie hotuba ya upinzani tumeipata,imeprintiwa na wananchi wanaisoma kila kona.Sisi si kizazi hiki si cha 47,hakuna uchochezi ila ni ukweli mtupu umesemwa,sema ukweli unauma! Ombeni mwongozo spika azuie tusiendelee kuiprint na kuisoma,si inawezekana?
Ha ha ha,te te te, wananchi wa jimbo la Nkamia wanakunywa maji ya tope,badala ya kukosa usingizi kwa kusemwa na jamii forums kwa matusi yake bungeni. Atetee wananchi wake badala ya kujifanya msemaji wa akina Lukuvi na Werema bungeni. Awaulize polisi na akina Nchemba uzuri wa jamii forums,maana...
Hapana wakristo inatosha sasa,tumevumilia sana,tusitegemee hawa police wa ccm,maana wao wanajua kulinda kura za ccm tu na kudhibiti wapinzani huku wakisahau kazi yao ya msingi ya ulinzi wa raia na mali zao. Hebu jiulize wa wapi wauwaji wa padre Mushi,watesi wa padre...
Natamani na nadhani kesho nitaprint majibizano hayo kwenye A0(ile karatasi kubwa kama shuka) halafu nikayabandike Kongwa ili wananchi wa kule wajue hawana mbunge ila wana baunsa wa mawazo,na kama huyu jamaa kama angezaliwa Uganda hakika ingekuwa katika ukoo wa akina IDI AMIN au kama angekuwa...
Hana lolote huyu,ni mtu wa kutisha watumishi wenzake, wananchi wa Bukombe wanamjua kwa kukalia siasa za ccm na kuingilia ofis ya mkurugenzi akititafuta pesa za kuchakachua maana ofisi za madc hazipelekewi pesa za maendele na hawana mamlaka nazo.Baada ya Bukombe akahamishiwa Bagamoyo ambako...
Lakini hata hao police ccm wenu wamechota humu JF ile video feki ndo wakaenda kumkamata Rwakatare. JF ni mtandao wa kujenga nchi yetu kwa kujadili,kuambiana ukweli na kurekebishana juu ya maswala mbali mbali,nchemba naye(bila kujua kuwa humu mambo hujambuliwa kwa upana)akaajili mtu akaweka video...
Startv iliyoko pale Mwanza kwenye taarifa yake ya saa mbili usiku haijatangaza mkutano wa Chadema uliofanyika Mwanza,badala yake ikatangaza ule wa Morogoro wa Kinana na watoto wa shule za msingi!!! Diallo at work.
Tuanze na TCRA wenyewe wajipeleke mahakamani kwa kuingilia mawasiano ya watu kwa kuwatumia sms 2010 kutukana wagombea wa nafasi mbali mbali ikiwemo Urais. Walitukera sana, hatujasahau kutumika kwao na ccm!
Acha hao waende zao hata wakihamishia makao makuu ya nchi yao Oman hatuwahitaji! Na wataiona fukuza fukuza toka bara baada ya katiba mpya.Umeme kata,kusoma bara piga marufuku,kulinda mipaka kwa nguvu ili wasiingie kwa njia za panya!
Nenda kwanza kamuulize Nape Nani aliingia mkataba wa kifisadi na Richmond(rejea kauli ya Lowassa/majibu kwa Boss kwenye kikao cha NEC kuhusu kujivua gamba)? IPTL, BUZWAGI na madudu mengine yanayotutesa leo Watanzania?
Akikupa jibu leta hapa JF halafu endelea na hoja yako.
Hakuna mtaaluma wa maana anaweza apply kazi jeshi la polisi tz,hii ni kwa sasa wameruhusu ccm kuwa na kitengo ndani ya jeshi. Mtu ka Mwingulu anawasumbua sana polisi sema yuko na backing ya wakubwa,hata hivyo polisi wenyewe wanatekeleza maagizo ya Nchemba kwa shingo upande ndo maana hawajui ni...
Video clip? Polisi ndo wanashtuk leo, mbona hawajawakamata akina sheik Dilunga na wenzake ambao wanatamka wazi wazi kupanga/kuwaamrisha wafuasi wao kuwaua viongozi wa dini ya kristo na wameanza kutekeleza. CD za kina Dilunga ziko kila kona mtaani,hii iliyoandaliwa na Mwigulu Nchemba (Kwa...
Kama vyombo unavyoita vya dola yenu ya mafisadi ccm viko imara,unatuambia nini kuhusu kuuwawa,kupigwa risasi kwa mapadri na viongozi wengine wa dini,kutekwa na kufanyiwa ukatili kwa Kibanda na Dr Ulimboka? Na vipi kutoroshwa kwa twiga wetu na dege la kijeshi la nje ya nchi kule KIA? Acheni...
Ningekuwa na uwezo ninge forward tarehe ili kesho kutwa iwe december 31,2015 (uchaguzi mkuu). Nimechoka kabisa kusikia habari za huyu mama kutumia pesa zetu ovyo! Hapa nilipo nimetoka kibaruani,ujira ndo huo unaokatwa kodi kubwa ya kutanulia watu wasio na huruma kama hawa! Hata hivyo watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.