Habarini wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada wilaya ya KILOMBERO imekua na utaratibu wa kuhamisha hamisha walimu pasi na sababu za msingi. Swala ambalo limekua likiathiri sana katika utendaji mfano mwaka juzi walifanya 2017 hivyo na kupelekea mvurugano mkubwa, safari hii wameanza tena na...
Sawa mkuu, na vip kuhusu hizo 9 zilizobaki? tatizo tulilonalo huwa hatuupendi ukweli na badala yake tunatanguliza mihemko kwa kuamini kila anaekosoa ni wa upande wa pili pasi na kujua ni vizur kukosolewa
Sent using iPhone XS Max
Habari za jioni wakuu, naomba niende kwenye mada moja kwa moja..
Miaka ya hivi karibuni swala la elimu kwa waislamu limekua tete kadri siku zinavyozid kwenda, na mbaya zaidi viongozi wenye dhamana ya hili wametulia tu kana kwamba hawaoni kinachoendelea.
Nawahakikishia hili bomu siku likipuka...
Habari naomba kuuliza kwenye tariff zero inatakiwa niweke shilingi ngap ili kupata units 75? mana huwa nanunua umeme wa 9000 na napata units 73 vipi kuhusu hzo 2 zilizobak?
Sent using iPhone XS Max
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.