Search results

  1. mpogolo

    Dili kusoma Bongo au Mbele?!?

    Katika Sekta ya Elimu Tanzania Bado iko nyuma hivyo basi ni Vizuri zaidi kusoma nje kuliko hapa ili mradi tukirudi tuje kupanua wigo wa Elimu.Ama kuhusu Vijana wengi waliopo nje ni kweli wanfata kusoma au La hasha! Nadhani ni vigumu kulizungumzia jambo hilo!!
  2. mpogolo

    CHADEMA kwawaka Moto! Mbowe arudi Dar!

    sidhani kama kujiuzulu kwa mbowe ndio kutakinusuru chama!! kwa mtazmo wangu hapa zifanyike jitihada za makusudi kupunguza ubaguzi katika chama ndio nusura pekee na wala sio kujiuzulu kwa mbowe! ni Mtazamo wangu!
Back
Top Bottom