Katika Sekta ya Elimu Tanzania Bado iko nyuma hivyo basi ni Vizuri zaidi kusoma nje kuliko hapa ili mradi tukirudi tuje kupanua wigo wa Elimu.Ama kuhusu Vijana wengi waliopo nje ni kweli wanfata kusoma au La hasha! Nadhani ni vigumu kulizungumzia jambo hilo!!
sidhani kama kujiuzulu kwa mbowe ndio kutakinusuru chama!! kwa mtazmo wangu hapa zifanyike jitihada za makusudi kupunguza ubaguzi katika chama ndio nusura pekee na wala sio kujiuzulu kwa mbowe! ni Mtazamo wangu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.