Wakuu nimeibiwa Leo iPhone 12 pro max na kijana wa kazi na kutokomea nayo.
Je, ni kwa namna gani naweza ipata?
=============================
Nilifanikiwa kuipata hii simu.
Si mara moja au mbili namsikia rais Magufuli akikazia kuwa hataki matusi wakati wa kampeni. Nilimsikia wakati anavunja bunge nimemsikia tena leo pale Somanga akiwa njiani kurudi Dar. Magufuli amekazia sana eneo hilo kuwa hataki matusi watu wanadi sera zao.
Ni matusi gani Magufuli anayaogopa...
Wakuu salaam, natafuta engine ya Suzuki escudo Grand iwe V6 ah 4 cylinder. Naweza ipata kwa bei gani?
Nahitaji complete
Naambatanisha na picha ya gari.
Akihojiwa katika kipindi cha kikaangoni cha EATV msanii nyota Amberlulu amedai ktk mtihani wa kidato cha nne alipata division two ya 34!
Hiki ndo kizazi cha TZ ya viwanda!! Kinyaa!!
Wakuu niliinunua iphone 7 plus ikiwa mpya kabisa cha kushangaza imekufa sensor ya finger print! Nimepitia forums mbalimbali nimekutana na hayohayo!
Matangazo mengi ya simu za iphone 5-7 zinazouzwa ni the same story finger print failure! What is the problem with this phone?
Kwa gharama kubwa...
Ndugu wanabodi mwana husika na kichwa cha habari hapo juu,
UPDATES ZA MTANZANIA MWENZETU ALIYEFARIKI MPAKA SASA:
Tunawatafuta ndugu wa Samuel John Asheli aka Rasta TZ, aliyefariki Denmark tarehe 05.08.2016, baada ya kuugua kwa muda mrefu. Marehemu amekaa Denmark kwa miaka 10.
Marehemu hakuwa...
jamani naombeni mtipatanishe na FARKHINA maana anasema hanipendi sija mkosea chochote sio hanipendi kama babay wake hamna kama rafiki yake nisaidieni kwa hilo
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEE.............!!!!!!!!!!!!!
wanachit chat kwa mara ya kwanza naomba kujitambulisha kwenu mie kijana msoga yetu toka msoga kwa walima nanasi huko chalinze napenda kujipa kick kwa mara ya kwanza kuwa baada ya mda mfupi tu nitagombea uenyekiti hapa na kutwaa madaraka ya ARUSHAONE...
NImepata kumsikia mwazuoni mahiri Afrika ya Mashariki na kati Ndg. Sheikh, maalim Ilunga Hasan Kapungu akielezea zana ya mfumo kristo,,, katika maelezo yake yoote mi nimechukua mfumo kama dhana pale alipobainisha namna waliogusa mfumo huo walipata kwa mujibu wa mafundisho yake.
nikirudi kwa...
HAYA SASA MUONEKANO MUPYA WA vicent kigosi hahaha kweli age is just a number!!!!!!!!!!!!
http://2.bp.blogspot.com/-ue75dKt0frs/UoZCPcvJ_JI/AAAAAAAAolU/DZ7irZR9VLM/s1600/1.jpg
ndugu mwenyekiti wa jukwaa hili ndugu Arushaone naomba kupitia kwako na wajumbe wote kutamka kwamba nampenda sana sana madam farkhina mpaka nakosa raha katika maisha yangu haya ya taabu.
dear farkhina salaam nyingi zikufikie hapo ulipo dhumuni la barua hii ni kukuambia kwamba i love you...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.