Hicho cha mtoto, m-PM juaKali akuonyeshe madude. Jamaa anatisha niliingia maskani kwake ana dude jipyaaaa. Alienware. Nafikiri process yake ina uwezo kununua system yako mzima! "Intel Core i7 975 Extreme 3.6 GHz) na video card HD 5870 ATI Eyefinity. RAM 24GB.
Kama bado huja amuua ipi utanunua chukua shilingi irushe juu, Kichwa "Dell" Mwenge "Toshiba". Hizi laptop zote hutengenezwa Asia!!!! Halafu cha muhimu kukumbuka ni kwamba Laptop ziyo urithi, Miaka miwili mitatu inatosha sana kuanza kufikiria Laptop mpya...
Angalia uwezekanano wa kununua static IP, itakugharimu $3.00 per month. hii ni suruhisho kwa matatizo yanayojitokeza mara kwa mara kwa web za kuchangia.
Usikatishwe tamaa na watu wanatoa ushauri kwamba ni lazima uwe mzuri katika Physics & math katika level ya university, kuna watoto, hata high school hawajamaliza wanaandika program zinazotisha. Ushauri wangu ni kwamba mambo ya CS / IT yanahitaji uwezo wa kufikiria kwa mpangilio (logically) hicho...
Mkuu, hawasemi wazi wazi kwa vile hawajui yapo kiasi gani, kutokana na Earth complicated filtration system, mafuta yanaendelea tengenezwa kila siku huko ardhini.."GarageRules Theory 2009"
Mafuta kama maji vile hayakauki ila yanaweza pungua au yakahamisha mkondo!!!
Na mitambo hii hapa...
Nimefanikiwa asanteni;
Kwa vile niliweza kuburn files nilizokuwa nimehifadhi mle sikuona umuhimu wa kundelea kushindana nayo kila siku hivyo nikajaribu ku-reinstall vista ikagoma, nikachukua mkongwe Windows XP nikaformat HD na installation ikaenda vizuri.
Hivyo sinabudi kuwashukuru wote...
Nipo mbali sana kutoka katikati ya jiji, na wajinga wanabei ile mbaya sehemu nyingi ni kati $100.00 to 120.00 per hour kitu ambacho nakiona uzushiiii!
Ngoma bado imenuna, ila kizuri nimeweza kuburn vitu muhimu nilivyovihifadhi humo, baada ya kazi nitafanya fresh installation.
NIna utundu kidogo na Windows XP, na hii system ina Vista Home premium OS, jana nimejaribu kutafuta system restore sikuiona mara moja. Halafu kuna kitu nilisahau kuwaelezeni, Nilikuwa online punde warning window ikatokea ikisema trojan zimee-infect system, kabla ya kupata jina la hiyo trojan...
Wakuu popote mlipo, nahitaji msaada; computer monitor imeenda off, nimejaribu kuangalia kitu gani kinasababisha bila mafanikio. Nimejaribu kubadiri Graphic card, swap monitors bila mafanikio yoyote. Then nikajaribu ku-boot in a safe mode, kila kitu kinafanya kazi, nikitoka kwenye safe mode mambo...
Haya wakuu naona tumeanza kuchanja mbuga, nimepata CCNP - Pass4Sure!!!
Nilivyoiangalia haraka haraka usiku nimeona itakusaidia sana kama uta go thru materials za mkuu Kilongwe(CCNA/CCNP/CCIE Tutorial), kwa vile hii ni maswali na majibu!! Professor wangu kanambia kuwa maswali almost yote...
Mkuu sijaweza fanikiwa ku-download server time-out Error, ntajaribu nikirudi nyumbani kuona kama ntaweza kudownload.
Kuhusu IOS, Kuna wakati nilijaribu kuzitafuta kupitia cisco, lakini ngumu kuzipata hivi hivi tuu, labda kama wamebadiri masharti...
Kama kuna mtu mwenye shida ya hizo IOS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.