Yap Aedes ndiye mbu husika kwa kusambaza ugonjwa huu, na kijiographia wamegawanyika katika magroup mawili Aedes aegypti na Aedes albopictus na kwa ukanda huu wa Tanzania tunaye Aedes aegypti huyo ndiye anasambaza Dengue, Chikungunya na Yellow Fever na jina maarufu la huyu mbu ni Yellow fever...
Kama watumia keyboard shika CTRL+F halafu andika jina la Shule, kama Jina la shule ni Unique (mfano Ilboru) itakupeka kwa hilo jina halafu gonga ENTER utakutana na ubao wa matokeo..Kila la heri.
Ukigonga hii https://www.jamiiforums.com/matokeo2012/data/olevel.htm then find (andika jina la shule) inafunguka fasta labda kama unatumia network ya magumashi
Donge Secondary School O-Level Education 1997 1998 SECONDARY
Hamamni Secondary School O-Level Education 2000 2001 SECONDARY
O level kasoma 1997-1998 halafu akasoma tena 2000-01.
hapo kati mwaka 1999-2000 alikua wapi na alikua anafanya nini? Kweli Magamba ni soo
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima ameibiwa vitu mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh23.3milioni (Hapa yupo safarini je akiwa home) katika Hoteli ya Nashera mjini hapa.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Hamisi Seleman alisema kwamba uchunguzi wa tukio hilo lililotokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.