Hatimaye mwenyekiti wa bavicha ndg Heche atoa ufafanuzi kuhusu sakata la kufukuzwa kwa baadhi ya waliokuwa wanachama wa bavicha kama Juliana Shonza, Habib mchange na Mtela Mwampamba na kwamba kulingana na katiba ya chama ni dhahiri imeonekana hoja zao hazikuwa na msingi hasa kikatiba hivyo si...
Naangalia EATV, namuona Mh. Mwigulu Nchemba akiijadili CHADEMA na moja ya vitu anavyozungumza ni CHADEMA kuwa na makundi mawili huku kundi moja lenye nguvu linaongozwa na wanakaskazini ambao wanawatumia wanachama wao kama karai wakimaliza kazi Yao (CHASATA).
Lakini mheshimiwa alienda mbali...
Kiukweli Kama ni kuitafuna nchi basi viongozi wa CCM wameitafuna vya kutosha tena bila aibu na hao waliokuwa wakiwaona wajinga, hawajitambui, wamelala leo wameshtuka na kudai haki zao hongereni sanaa watu wa kusini ........kip it up
Hayaa mambo waachieni wasemaji wa chama kuyatolea ufafanuzi ingawa si dhambi kuyajadili ila kwa mtazamo ni njia za kukigawanya chama.......ni hayooooo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.