when it comes to dealing with GOVT authorities, siku zote ni TATIZO..this zombe guy was a police..tena mwenye cheo tu, unadhani angekaa kimya bila kuhakikisha kuwa ushahidi wote ambao unaweza mletea matatizo umeharibiwa????thats what he did..he tempered with the evidence, and in criminal matters...
hili ndilo tatizo letu, hatuwezi hata siku moja kuwa creative, au kutumia utanzania wetu kutetea chetu..we are ful of bla blaa's watu wanakuja wanajinufaisha kwa mali zetu sisi bado tuu tunanyenyekea... na huyu JK wetu ndo basi tena hata sina cha kuongea..yeye akikagua kitu kaweka mikono mfukoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.