Nadhani ni kujua kiswahili vizuri tu maana unasema ni kaimu mkurugenzi na sio naibu mkurugenzi. Yeyote ndani ya NHC anaweza kukaimu nafasi hiyo kama mwenye dhamana hiyo hayupo lakini naibu ni cheo rasmi cha mtu
Kampuni hii imekuwa kwenye utangazaji wa tv kwa muda mrefu sasa. Lakini pamoja na uwezo mkubwa ya kuyafikia maeneo mengi na kutoa taarifa nzuri kwa watanzania, wana tatizo la kutokuandika majina ya watu wanaowaonyesha aidha wakati wakiwahoji ama kuchukua habari zao. Kama mtazamaji umeikuta...
Shivji kachoka kama Mrema anatafuta kusaidiwa na chama hadi hapo mauti itakapomkuta. Haiwezekani akubali kutafutiwa Vijana wa vyuo wa kukodisha ambao walikua wanamshangilia hata akipiga chafya pale blue pearl hotel. Yeye ni msomi wa type ya Benson Bana
Wana JF inabidi tukubaliane kuwa na uwezo wa kuvumilia kwani wakati wa registration hakukuwa na limit ya age (so long as you're 18yr) basi upo huru kuja na sensible and constructive topic au swali. Sasa mtoa hoja hii inawezekana wakati akivaa mavazi yale alikua 14-16yr lakini leo yupo 30yr...
New Habari Corporation wameamua kujiimarisha hasa katika kipindi kinachokaribia kampeni za uchaguzi mkuu kupitia magazeti kwakuwa wanamchukua na Sholei aliyerithiwa na Tido pale Mwananchi
Natambua katiba ya nchi ya sasa na hata rasimu ya pili ya katiba inatambua kuwa rais wa nchi ndiye atakua amiri jeshi mkuu. Na moja wapo ya matukio baada ya kuapishwa rais na katika matukio mengi ya kitaifa rais ukagua goalie la majeshi yake yote.
Naomba wana JF mnisaidie kunielimisha juu ya...
Ndugu, hapa tunaongelea rare professions, ila hata mshikaji wangu ashaenda ingawa priority ni kwa key staff waliopo kwenye oil and gas.
Lakini pia sio kila auditor au accountant anafit moja kwa moja bila kupata mafunzo specific kwenye industry ya petrol and gas
Nasikia ni kama 1.7m/- ila uzuri wao ukiingia unalazimika kupelekwa abroad for further training hata kabla ya kumaliza probation nchi za Norway, UK, Australia etc. Wanahitaji wataalam kwa gharama yoyote na kwa haraka sana. Vijana wengi hawamalizi miaka miwili wanapelekwa tena shule. Huu ni...
Hivi kuna maana gani kuwa madirisha mengi lakini lifanye kazi dirisha moja. Branch managers wanatakiwa waangalie na situation, kama customers ni wachache basi tellers wapunguzwe, lakini unakuta watu zaidi ya mia na teller wapo wawili ilihali madirisha manne hayana tellers, inaboa sana, CRDB...
Ndugu hizi ni mpya mbichi kabisa, zile zilikua kama 50 na kitu, hizi ni karibia 200. Usikate tamaa inawezekana hii ndio zamu yako kwani hamuwezi kupata wote kwa mara moja. Chukua ushauri wangu utafanikiwa ndugu
Huwa najiuliza kwanini wakenya wanapata ajira zetu hapa wakati sie ni wazuri sana kwenye performance, kumbe ni uoga tu kuomba kazi kwa kisingizio kuwa eti 'after all kazi zenyewe washapeana hii ni formality tu'.
Huwa natamani kuomba kazi kila siku na huwa napata ila nachagua na nyingi...
Wakwepa hesabu utawajua tu. What I understand, of recent, science university students have been doing good, we should not generalize on individual poor performance. First na upper second zipo za kimwaga na nowadays hawataki kubakishwa kufundisha manake lini watakua senior lecturers wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.