Kwakweli nimejikuta navutiwa sana na wewe,nakupenda sana na nakuhitaji naomba nafasi moyoni mwako na naamini Inawezekana Tukawa mke na mume..
Nimejiajili,
Na pesa ya kawaida tu(kitamzania)
Nasoma MBA(finance) SAUT mwanza
N.B nimeamua kuandika hii thread ili kila Mtu aone..
NAKUPENDA SANA na...
Habari za jioni wanajamvi!poleni na mihangahiko ya maisha...
Nimeguswa kuilete thread hii humu jamvin Ike iwe fundisho kwetu wote hasa kwa sisi tunaopenda kamata nchinje,Jana muda wa saa Saba mchana nikiwa kwenye mihangaiko ya kutafuta mkate wa kila siku,Mara simu ikaingia(NAMBA ngeni) kupokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.