mwanangu napamiss vwawa,hasa kitimoto ya kwa Abu Kule kwa Jimu, hawa njegele wanaosema dogo kapokelewa kwa shangwe wanajifariji,watu wa mbozi hatuko hivyo
kha kha khaaaa.... Mwanchekesha, afu eti mleta mada anasema waliondoka CHADEMA, walifukuzwa , sheenzy, na ninavyowafahamu wana Mbozi,imekula kwao, wekeni picha hapa tuwacheke
Hili ni jukwaa la MMU, ulitaka alete uzi wenye maslahi gani hapa!? ulitaka aje kuongelea kilimo kwanza na ufugaji wa mbuzi wa mayai ndo uone maslahi mkuu... you might be right but in a wrong place
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.