Search results

  1. believer

    HAKI na WAJIBU

    Kuna hili suala la Bandari linaloendelea Nchini, limekuwa lichukua sura tofauti tofauti kila kukicha, na kadri siku zinavyozidi kwenda, mambo mbalimbali yamekuwa yakijitokeza hasa mara baada ya Bunge la Bajeti kutenga muda wakati fulani siku ya Jumamosi kwa ajili ya kujadili jambo la Bandari...
  2. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    Yaaa Product ya mwaka 2006
  3. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    Changamoto sio mawakili kwa mawakili, changamoto ni yeye dhidi ya anaowashinda.
  4. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    Wewe nitakupa agizo jingine, hili sio lako
  5. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    [emoji122][emoji122][emoji122] Mungu ndio kimbilio mwisho wa siku.
  6. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  7. believer

    Je, kuna haja ya Kibatala au Lissu mmoja wao kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali?

    "Great Thinkers thinks alike" hii inadhihirisha kazi yake inayopimika, natafakari tu jinsi chuki na kutukuza watu kunavyoongezeka Nchini, napata wakati mgumu sana
  8. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    Hakika ndugu, ukiiangalia ile clip kwa jicho la haki, bila kuwa upande wowote ule, lazima lazima lazima utatafakari.
  9. believer

    Usalama wa Mtu kama Peter Kibatala unawekwa vipi

    Katika miaka ya hivi karibuni takribani 10, jina la Peter Kibatala limekuwa maarufu sana. Umaarufu wake unatokana na yeye kuwa Wakili mashuhuri anayetambulika kama wakili msomi, nimekuwa nikifuatilia aina ya kesi anazopangua na dhidi ya watu anaowashinda, hakika kuna baadhi ya kesi anazoshinda...
  10. believer

    Will Swahili become the continental language led by Tanzania ambitions?

    Itakuwa ngumu sana, kama huu uzi tu wenyewe umeuliza kwa kiingereza, sasa kiswahili chenyewe ni nani kijitutumue.
  11. believer

    Airtel mmeanza miyeyusho na bando zenu

    Bahati mbaya watanzania wengi tuna fikra kuwa kuhoji vitu vinavyoonekana vidogo mbele ya macho ya watu hususani bando km la Tshs 2,000 ni kukosa fedha. Hii kwangu ni kuwa nje ya box na kuwa na "keen to details" tu. Keen to details ni kitu muhimu sana, pata bahati ya kukaa na mtu mwenye...
  12. believer

    Airtel mmeanza miyeyusho na bando zenu

    Inawezekana aisee maana umasikini ni mpana sana, hata wa fikra nao kichomi kweli kweli.
  13. believer

    Airtel mmeanza miyeyusho na bando zenu

    Nimenunua bando ya Airtel ya Tsh 2,000 kwa ajili ya intaneti ya 3 GB, ndani ya dakika 10, wametuma msg bando imeisha, what a prank, 3GB in less than 10 minutes na hakukua na suala la sijui updates, sijui kumuunga mtu na tethering nk nk. Hivi vitu vidogo vidogo ndiyo vinavyoleta matatizo...
  14. believer

    Msaki anayemiliki mjengo wa Kibo Complex anaweza akawa kwenye top 10 ya matajiri weusi Tanzania

    "Conscious" Badili na hilo kabisa, Controla to Conscious.
  15. believer

    Maajabu 8 ya mkoa wa Mara

    Sema 4,wakati mwingine inaweza kuwa ni tafsiri hafifu ya waliyonayo wasomi ambapo Sasahivi inaonekana ukiwa Prof au Masters holder gombea then shavu nje nje. Au wakati mwingine labda tatizo la Ajira ni kubwa kiasi kwamba ma Prof kutoka Mara wamesanuka deal ni kuomba Ajira husika.
Back
Top Bottom