Dada Maho gel, kwanza kabisa unatakiwa kujua hakuna nywele zisizokuwa. Hata ziwe kipilipili cha aina gani lazima zikuwe, tatizo ni jinsi gani unahakikisha zile zinazoota hazikatiki, na hii itategemea unazijali nywele zako kwa kiasi gani.
Hapo baadae kama utaamua kutunza nywele zako za asili...
The boss,unachosema inawezekana ikawa ni kweli hawa wazungu wametugeuza wanyama wa kutestia virus wavitengenezavyo maabara.
Ila ninachojua mimi baadhi ya watafiti mara nyingi uwa wanakuwa na tafiti endelevu kwa hivyo wakisikia tu kuna mlipuko wa ugonjwa wanao tafiti wanachukua next flight...
Kazi atakayofanya mtu aliyesoma CBG inategemea na muendelezo wake wa elimu ya juu, unaweza kuja kuwa lecturer, mkemia, marine biologist, ecologist, microbiologist, scientific researcher, kwa uchache wake. Kazi kwako kijana.
Naona mdau haujapewa jibu la moja kwa moja la tatizo lako1! nakushauri uwe unapaka mafuta ya Olive (Extra virgin Olive oil) kila ukiwa unajiandaa kwenda kulala, mafuta haya ni mazuri sana, mimi binafsi yamenisaidia sana. Kama suala la kulala na soksi halitakusumbua fanya hivyo, inasaidia kupata...
Hawa wanaitwa Kalunguyeye kwa kidhungu ni hedgehog, Nungunungu ni wakubwa zaidi na kidhungu chake ni pocurpine. Nungunungu na Kalunguyeye ni jamii mbili tofauti japo wana miiba inayofananafana kidogo.
Kwa kuongeza tu, jaribu kumuweka mtoto kifuani baada ya kumaliza kumnyonyesha halafu umpapase papase (burp) mgongoni mpaka abehue, hii inasaidia kutoa hewa ya ziada iliyoingia wakati wa kunyonya. Njia hii inasaidia sana kuondoka hiyo gas, fanya hivyo na usiache kwenda kuwaona wataalam kwa...
mmh! sijui huku kuingiza tamaduni za watu wengine kwenye zile zetu kutatufikisha wapi, yani kweli mumeo kabisa umpendae analeta mtu mwingine mfanye threesome na mke unakubali kabisa!!! umeniacha na maswali mengi sana kuliko majibu. Ya kujifunza tujifunze mengine tuwaachie wenyewe.
Mimi kwa...
Muanzisha huu uzi unavituko wewe....
Hivi kweli mume ampendae mkewe kwa dhati ata suggest mfanye threesome kweli? mana mi najiuliza nikiambiwa tufanye hicho kitu nitadua aje? nahisi nitazimia gafla.
Mi mume wangu nampenda kufa lakini akileta tu hizo sijui za threesome sijui tigo ndio itakuwa...
Swali kidogo, hiyo chanel ya nchini Czech Republic wanaongea kwa lugha yao? Kama ndio basi kiongozi nimekuvulia kofia, hadi kicheki unakimanya....
Lugha zinasumbua hizi wajameni..ameamka AMEKUFA tena?
Hapo kuna mawili,
1, huyo aliyekuwa anawafundisha hiyo course ya Herpetology hakuwatendea haki kwa kutowapa elementary information ya evolutionary lineage na diversification ya mijusi ambao wengine inasemekana lineage yake ni ancestors wa ndege
2, Particpants hamkutaka kuuliza uliza...
Sijafurahishwa na hili suala la kusutana nje ya bunge, kwanini hawa wabunge hawakusisitiza hoja ya dharula ya mweshimiwa Wenje isikilizwe?
Mi ningependa kujua hao samaki ni waaina gani ili tusambaze ujumbe kwa ndugu, jamaa na marafiki tukwepe kuwanunua...watakapo waozea sokoni ndio itakuwa...
Boss- Daz Mwalim, Juma Nature na Solo Thang
Mambo ya pwani, homa ya dunia, mpenzi wangu nakupenda -Solo Thang
Mi na mabinti damu damu, Mwanafalsafani, Ingekuwa vipi, Tuliza ball etc- Mwana FA
Hili game, mzee wa busara, tulianzisheni la kigeto geto -Sir Nature
Machozi ya furaha...
Mi nilipita hiyo njia 2009, nika icheki ile stand nikajiuliza kama stand tu pako hivi huko vijijini kukoje? Baada ya kusoma maelezo ya Rostam jana, nikabaki najiuliza huko Igunga kulikuwaje kabla ya 1994?? Mana kwa maelezo yake anasema tangu amekua mbunge wa hilo jimbo kumekuwa na maendeleo...
Hahaha, mambo ya mapishi na kubadili aina ya upishi...wakati mwingine si lazima mshirikiane kupika, unaweza kumsusia mwenzio apike tu..kama dada yetu yule aliye rudi hivi karibuni toka jumba la kaka mkuu wa afrika alivyomsusia jamaa apike tuu..yeye akawa kama hataki kula..lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.