Wimbo wa Gere ulikuwa Trend no. 1 juzi yu, na then umekuwa replaced no. 1 na Jeje
Jeje kuwa no. 1 kwa popularity na power ya Diamond haina la kushangaza
Ila iweje Gere umepotea kabisa? Ungekuwa angalau no. 3, 4, Hata 10, 30, hata 40.. HAUMO
Wimbo kama wa haujanikomoa ni wa 49 sasa it makes a...
Project Coordinator, Project Secretary, Project Planner is needed!
You will need to be able to work on tight deadlines, be competent in using Microsoft Office applications such as Word and Excel, and have exceptional verbal, written, and presentation skills. A bachelor's degree in a related...
Looking for Civil Engineer with Experience in-Irrigation Engineering (Design, Drawings and Tender Documents) also with experience in Highway Engineering (preferably not condition). Experience > 3yrs < 8yrs is preferable he/she should be able to write a report, design, Drawings, tender...
Makonda alianzisha lile sakata baada ya video cha uchafu kuvuja na zingine nyingi kutolewa na watetezi wa zile video wakaeleza na wanaume pia wanapitia mkondo ule ule!!! swala la MASHOGA limeibuka kama mitigation measure ya hali ilivyo kwa sasa
Makonda kachokoza fikra, kaelezea ukubwa wa...
Yale matusi, chuki za wazi, vijembe , hasira na kebehi za wanachadema kwa serikali hii, au hata mwenzao ambaye ana mawazo ya tofauti umezidi kuiacha uchi chadema
Wengine tumejaribu kila njia kuiongozea damu chadema kuipa uhai na hata kuwasha mashine za kupumulia, tena kwa upendo tu ila...
Kwa mfano!
Hasira zote zile, matamko yote yale, kunyooshea vidole watu na kumzodoa kila anayesema tofauti!! bado CHADEMA mmeshiriki bunge? Mnashiriki bunge? mnakula, mnacheka huku kuna mtu yuko kitandani na bado hakuna hata clue ya nani ni nani alifanya nini!
Ilikiwa rahisi kwa mbunge Sugu...
Kuwa Chadema ina nguvu za kiroho za chini ya bahari, mbinguni, peponi au kuzimu! Ukiwa mwanachama wa CCM hata uwe mchafu vipi aidha wa mwili, akili, roho na tabia mbaya, moment unapoamua tu kuingia chadema unakuwa 'converted' na kuzaliwa upya!
Tabia zako zote mbaya zinapotea na mara...unakuwa...
Tuhuma za watu kutekwa au kutishiwa maisha serikali mmeishasema hamuhusiki, si polisi, JWTZ au TISS. Lakini kama watu walifanyiwa hayo, wakaumizwa na kisha kila kona mnasingiziwa nyie na hasa wewe ukiwa kama waziri husika ina maana
1. Kikundi hiki cha kuwatesa watu kimeishinda nguvu serikali na...
Kuna Kundi limekaa na kuratibu hizi movies kwa umakini sana kuwa rais
1. Achukiwe
2. Asiweze kutawala
3. Asifikie Lengo lake
4. Apoteze umaarufu
Hili Kundi ni wale waliotarajiwa
1. Mafia wauza madawa ya kulevya-Kinana tuliza watu wako
2. Kundi shindwa la ugombea urais ( Kundi linahusisha...
Huyu ni kiongozi mkubwa katika nchi na amepitia katika kipindi cha presha
Kwa nini hakutulia??? au kulikuwa na ulazima wa yeye kusema kitu? what if kama Magufuli alikuwa anataka ampe nafasi ingine ya serikalini?
Nyuma ya pazia kuna nini ambacho Nape anahisi kachukiwa sana wakati kitu...
Sijawahi kudhani kuwa watanzania wengi ( sio wote ) ni wajinga wa ngazi hii tunayoiona. Ndio maana ni ngumu kutofautisha mtanzania wa kidato cha sita na yule wa chuo kikuu. Katika IQ zao, kuwaza kwao, kufikiri kwako.
Maana hata huyu aliyesoma kasomeshwa kuwa manamba, robot ambaye hawezi...
Nasikia Ukimkamata muuzaji mmoja, unampata huyo huyo, network yake hauipati kabisa! Ukimtangazia anapata muda wa kuhaha kupiga simu, kuhamisha mizigo na kujisafisha
Lilipotangazwa Jina lako tu, waliishawekewa makachero na tracking systems zote na kupata mtandao mpana zaidi, with evidence
Na...
Sijaandika kama naota au nimekurupuka,
Japo CHADEMA chini ya Mbowe huwa hawapokei kabisa ushauri wowote ule, mwisho wa siku hawaendi mbali, na hawarudi nyuma kuangalia walipodondokea.
Mbowe ni fisadi anayetumia mwanya wa CCM kuwa hivi tunavyowaona, Mbowe hana tofauti na mchungaji Lusekelo, au...
Imepita kama upepo, imepita kama ndoto , imepita kama kiu ya maji au mkojo wa kubanwa
Kuna wakati unaweza ukajisahau ukaona kama miaka haiendi, au ukaona miaka mitano au kumi ni mingi sana, sijataka kuzungumzia miaka mitano, hapana nimesema miaka kumi, kwani atakayetaka CCM iongoze miaka mitano...
Anatakiwa secretary au Diploma holder yeyote ambaye anaweza kufundishika kwa kazi mbalimbali za kampuni. kituo cha kazi ni sinza
asizidi Miaka 35, awe mvulana au msichana
Mshahara wa kuanzia ni kati ya 300,000 mpaka 450,000
Deadline appplication ni 26/11/16
email ziandikwe kwa...
Walimtaja Lowassa kwenye list of shame, na walimtukana na kumsema kwa miaka kama 8, huku msigwa, sugu, Lissu, Lema wakizungumza kila neno baya juu ya Lowasa na ufisadi wa CCM
Slaa alipita nchi nzima akieleza bayana uchafu wa Lowassa na CCM,
Baada ya Mbowe kupiga hesabu zake za kibiashara...
Anaijua hela!
Leta habari zako za siasa, uzalendo au ushauri wowote ule ukiwa hauendani na matakwa yake au malengo yake ya kupata pesa! atakuumiza tu.
Mbowe hataki heshima, wala haijui heshima, hana muda wa kuitaka heshima, Mbowe anachotaka ni pesa!
Alianza taratibu hivi, kidogo kidogo tu...
Kuna wakati au mara zote shida ya mtu fulani inakuwa ni fursa kwa mtu mwingine
Kwa muda mrefu watanzania wamekuwa na nia, hamu, haja na kilio cha kuiondoa CCM madarakani. Nia hii imekuwa kubwa sana miaka ya karibuni pale CCM walipoendekeza kuiba mali za umma na kutumia kidogo kilichoko kwa...
Mwaka huu kuna uwezekano mkubwa UKAWA chini ya EL wakaingia ikulu kwa mara ya kwanza katika historia.
ACT wamesema bayana kuwa hatua zozote, vuguvugu lolote na michakato yoyote ya kuiondoa CCM madarakani wao wanaiunga mkono, wana issuport. Kuunga mkono huku hakumaanishi ni lazima ACT wawe...
WANACHAMA WAKE
Wanachama wa CCM wako tayari kukubali chochote kitakachosemwa na Mwenye kiti wao, kuunga mkono chochote pasi kuuliza wala kujiuliza kwa manufaa ya nchi: wanachama hawa mara nyingi wana mihemko ila watulivu, lakini wakali sana hata wanaweza kutumia silaha wakichokozwa
Wanachama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.