Unajua Simba ni wajanja sana.... Walikaa naYanga pamoja na TFF kwa makubaliano ya kupatiwa mil 50 kila timu hiyo ilkuwa ni kumpoteza yanga kwenye ramani ya soka.. Sasa sijui viongozi wa Yanga hawajui kusoma alama za nyakati. MASIKINI ONA MASHIBU YALIYOWAKUTA..?anyway
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.