Akizungumza leo makao makuu ya club amesema kuwa TFF hawana mamlaka ya kuagiza kuitishwa mkutano wa simba kwa hiyo hakuna mkutano wowote utakaofanyika ndani ya hizo siku 14. Pia amesema ameivunja kamati yote ya utendaji na amemteua Richard Michael Wambura kufanya shughuli zote za klabu...
Lakini mkuu kama umefuatilia vizuri maelezo yao haya maswali yote uliyouliza hapo juu wameyatolea ufafanuzi. Me nafikiri ni muda muafaka sasa tujadili hoja za pande mbili baada ya hapa tufanye compromise then mapambano ya kuikomboa nchi kutoka kwa manyang'au wachache yaendelee!
yeah ameshinda kwa points, majaji wote watatu wamempa ushindi. Ilistahili kwa kweli, tusubiri inawezekana mwakani mwezi may kukawa na pambano la kihistoria, manny vs mayweather
Me nafikiri hatua ya kwanza tanzania daima waende hapo magomeni kwenye hiyo shule wapate maelezo ya huyo mtoto kama kweli ni mwanafunzi na details nyingine zote zitapatikana hapo. Me nafikiri hapo ndio pa kuanzia.
Kama siasa zetu watanzania ndio hizi basi tuna safari ndefu mno huko tuendako. Hii mijadala mnayoanzisha sidhani kama ina tija kwa mtanzania anayetaka ukombozi wa pili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.