Nilifanya mapenzi na mwanamke,ila kwenye process sijui kilichotoka ni sperm kidogo au semen. Wakati huo nikiwa chini mwanamke juu lakn baadaye sana nika P. Je hata kama zilitoka kidogo ni kwa kiwango gani naweza kusababisha mimba nikiwa chini(japo sina uhakika ni soerm au semen).
Mwenye kujua simu ya Oppo f11 nikitaka kurecord call nafanyaje. Kwa simu zingine ukitaka kurecord oncoming na outgoing calls unapaona kwenye keyboard.
Oppo f11 hapaonekani. Help pls
Habari zenu wanajukwaa. Binafsi nina ugonjwa wa kudumu(Pumu) na nahitaji chanjo. Naomba kujua hili kuhusu chanjo ya Corona kwangu mimi na ambaye hana Puma.
Je, nikipata chanjo bado nitaambukizwa corona? Kama ndiyo, je niliyepata chanjo na ambaye hajachanja tofauti yetu ni nini?. Msaada hapa please
Salaam kwenu wanajukwaa. Nimekua addicted na mchezo wa kubahatisha wa bonanza kiasi cha kuhatarisha uchumi wangu. Hii hutokana na kila ifikapo kuanzia saa 12:00 jioni sina cha kufanya kiasi cha kushawishika kujumuika wa Watu katika mchezo huu. Siwezi kukwepa kutokuwepo maeneo hayo maana mji ni...
Nina mtoto wa kiume ana miezi mitano awali kina mama moja wa mtaani aliniambia ulimi wa mwanao haunyanyuki hivyo akatwe kidogo ili asiwe bubu.
Lakini huyo mama nikampuuzia nikampeleka hospitali wamcheki lakini doctor akasema mtoto hana shina ila akaniambia nirudi akiwa ana miezi mitano maana...
Nina mtoto wa kike mwenye miaka minne. Alikatika meno ya awali(ya maziwa) Kama meno manne ya juu kwa sababu alitumia sana dawa za maji. Sasa hivi jino jipya linachungulia(linaota) juu ya fizi. Je lipi lifanyike hapo?.
=Nawasalimia humu ndani. Nisaidieni jamani tatizo la kurithi', Tatizo langu ni la siku nyingi kidogo. Nasumbuliwa na UTI na maumivu makali upande wa kulia na kushoto mwa tumbo, mara nyingi pia maumivu ya kiuno, mkojo kuwa wa njano.
=Mzee wangu anasumbuliwa na matatizo haya na nahisi nimerithi...
Mm ni mtumishi wa serikali. Kuna mtumishi mwenzangu ambaye tunafanyanaye kazi kituo kimoja. Ametamka wazi kuwa atakuja kunilisha sumu, japo hakuniambia mm moja kwa moja ila ushahidi upo.
Wakubwa nahitaji gari, naomba mnishauri aina ya gari inayonifaa. Budget yangu ni mil12. Sifa ya gari niwe naweza kusafiri nayo kutoka Mwanza- Arusha angalau mara mbili kwa mwaka (iwe na uwezo huo), isiyozidi cc 2000, upatikanaji wa spare uwe mrahisi, isiwe chini sana maana kule kwetu kuna milima...
Wanajukwaa natanguliza shukrani zangu
#Nampango wa kujenga nyumba. Sina uelewa mpana sana kuhusu gharama ya kujenga nyumba
# Nahitaji kujenga nyumba ya kuanzia tofali za block 2800-3000 na bati 1 isizidi 30000.
# Kiwanja tayari ninacho 30×30 tu
# mchanga na mawe 60000 kwa trip
# Budget...
Wanajamvi!
Huu ugonjwa wa watoto kuwa na vidonda makalioni unasababishwa na nini? Hasa hutokea wakati wanaharisha. Huku Mwanza wanauita Makaptula (sijui kama ndo jina halisi)
Ni mara ya nne sasa mama anaenda hospital. Tatizo kubwa ni mkono wa kushoto kuuma, maumivu huanzia usawa wa uti wa mgongo. Kuna kitu kinatembea ama kinahamahama na yenye maumivu makali kiasi cha kumnyima usingizi.
Na mkono hushindwa kufanya kazi. kaupepo kadogo kakipita unapitiliza kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.