Mwandishi asante kwa Makala nzuri ya Vita za Dunia. Nimejifunza mengi.
Labda tu angalizo kwamba, Taiwan ni Sehemu ya China na bado kidogo waichukue bila hata Risasi moja.
Nadhani itakuwa Kama Hong Kong na China. Muda ulivyofika, China wakapandisha Bendera tu.
Vita ya Kwanza alianzisha Austria. Mfalme wa Austria baada ya Toto lake Bishi kwenda kumuowa Sophia ambaye hakutoka Familia ya Kifalme, Baba yake aliyekuwa Mtawala wa Austria huku Mwanaye aliyeishi Czech nankutawala hapo, alitaka sana kumpoteza. Alijua akienda Kosovo anakwenda kuuliwa ila...
Dana White anasema:
“Francis Ngannou has the world record for most powerful punch, his punch is the equivalent of 96 horsepower, which is equivalent of getting hit by a Ford Escort going as fast as it can, and it is equal to getting hit by a 12-pound sledgehammer swung with full force from...
Sina uhakika kama Agha Khan sasa wanafanya wao. Inabidi kujua kama kuna sehemu wanafanya wao Direct. Hata Muhimbili wanafanyia Lab ya Taifa. Nimefanya wiki mbili zilizopita na majibu yalitoka saa tano asubuhi siku iliyofuata.
Airport waliweka mitambo ya kupima PCR Test kwa ajili ya wasafiri...
Ukitaka kupima Covid19 ni lazima kwanza uingie huu ukurasa:
https://pimacovid.moh.go.tz/#/booking
Ukishajisajili utapewa Control number. Ukishawalipa fedha zao ambazo ni kama Tsh 120,000 utapewa taarifa kwamba unaweza kwenda kupima tayari Covid. Wakati unachagua hapo juu kwenye hiyo Link juu...
Kuna Kisiwa huko Mafia kinaitwa Thanda.
Bei ni mara mbili ya hiyo na chenji inazidi.
Inatakiwa ukae siku si chini ya tano.
US $25,000 x 5 = $125,000/ Minimum.
Mkuu hujanisoma.
Umeshawahi kufanya jaribio la Mpemba Effect kwenye baridi Kali? Mie nilifanya nje kwenye baridi kama -10*C.
Nilimpata Mpemba ingawa hakuwa Mzuri sana.
Tafadhali jitahidi kwenda deep zaidi ndiyo utanielewa. Vinginevyo namalizia hapa
Anga la Kimataifa ninavyofahamu Mimi ni kuanzia 10 km kwenda juu zaidi.
Rocket Engine Muanzilishi wake ni German kipindi cha Hitler.
Baada ya Vita ya 2 ya Dunia kuisha, USA na Russia walikimbilia kuchukua Know How ya Hitler na kuiba Wanasayansi wa German.
Huo Mvuke tunaouona, kuna Mtanzania...
Kuna Ngosha kadhaa wameishika vizuri sana hii biashara ya spare parties za pikipiki Kariakoo.
Kwa sasa wako mbali sana. Kuna mmoja hadi anatengeneza kwa jina lake zinaitwa MKZ ila jina kapuni.
Ushauri wangu: Kuuza jumla mwanzoni na huna jina inaweza kuwa shida.
Anzia mikoani au nje ya jiji...
Natalia, Tsar alikuwa Mtawala wa Urusi kabla ya mwaka 1917. Hivyo lazima ujuwe kuwa hiyo ni silaha yq Mrusi. Ni sawa na usikie Meli ya kivita inaitwa USS Theodore Roosevelt (CVN-71) ukasema ni ya Urusi.
Mabomu ya Maji yaani Hydogen Bomb ndiyo habari ya mjini kwa sasa. Achana na Nuke Bombs...
Mrusi mbona miaka mingi tu ana Father Of All Bombs?
Uliyoweka wewe inaitwa Mother Of All Bombs yaani MOAB.
Hizi zote ni Non Nuclear Bombs.
Next time angalia habari zako vizuri unapokuja hapa JF.
Mshana Jr,
Asante kwa makala nzuri. Mie ni mpenzi wa kusoma habari za hawa MAFIA tangu nipewe story kuhusu kitabu cha THE GODFATHER cha Mario Puzo.
Katika wote ulioandika, nilikuja kushangaa sana kusoma Story ya FRANK LUCAS.
Hii ilikuwa baada ya kuangalia film ya AMERICAN GANGSTER aliyocheza...
Alikuwa ni King wa Coupe Decale.
Ukiangalie waliokwenda kumzika ndiyo utajua. Mara kadhaa Drogba alikuwa akifunga goli basi hucheza kama anakata kitu hewani na kisu ambayo ndiyo ilikiwa style ya Coupe Decale. RIP Arafat.
Vijana vaeni kofia yaani Helmet mkiwa kwenye pikipiki. Pia kuweni...
Mimi niliweka tangazo hapa: https://www.jamiiforums.com/threads/tunatafuta-vijana-wawili-wa-it-kama-wabia.1546729/
Malengo ni kuwaunganisha vijana kadhaa na kuanzisha kampuni itakayoweza kuwa ikifanya kazi kubwa huku ikihusisha Artists ambao tayari wanafanya kazi hizo kwa miaka mingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.