Search results

  1. kaygeezo

    SUBARU FORESTER KALIIIIII....Inauzwa

    Sold deal closed.
  2. kaygeezo

    SUBARU FORESTER KALIIIIII....Inauzwa

    Bei ya Mwisho hiyoo 8M
  3. kaygeezo

    Professional PLUMBER (FUNDI BOMBA)

    nambari imesaviwa kwenye simu yangu..... lazima niwapigie ,natafuta pia wataalam wa wiring(wenye skills na ushauri(ndio muhimu zaidi)).
  4. kaygeezo

    SUBARU FORESTER KALIIIIII....Inauzwa

    Available for Quick sale
  5. kaygeezo

    Msaada: Kwa watumiao genarator home tanesco ikikatika

    Very Interesting topic ,naifatilia kwa umakini ,wenye info na ushuhuda tafadhali muendelee kutuhabarisha
  6. kaygeezo

    SUBARU FORESTER KALIIIIII....Inauzwa

    Going down 9.5M Available for Quick sale
  7. kaygeezo

    Ps2

    OFFER FOR PLAYSTATION 2 SLIM For Sale in Dar Es Salaam Tanzania | Classified
  8. kaygeezo

    Subaru Forester with Turbo 4WD

    Nini Umetafuta umekosa? Nimetumia Subaru F mwaka wa 5 ,hakuna nilichokosa na bei ni resonable with respect to durability
  9. kaygeezo

    Subaru Forester with Turbo 4WD

    Am selling mine as well 4WD Turbo. 1997 Subaru Forester For Sale in Dar Es Salaam Tanzania | Classified
  10. kaygeezo

    SUBARU FORESTER KALIIIIII....Inauzwa

    Quick offer 10.5m
  11. kaygeezo

    Subaru Forester with Turbo 4WD

    MT or AT Cross sport ya ukweli sana
  12. kaygeezo

    SUBARU FORESTER KALIIIIII....Inauzwa

    Naona Picha zipo safi sasa
  13. kaygeezo

    SUBARU FORESTER KALIIIIII....Inauzwa

    Kwa majibu ya haraka wakati narekebisha Picha Ipo Dar es Salaam 143000kms Imeingia Nchini August 2011
  14. kaygeezo

    SUBARU FORESTER KALIIIIII....Inauzwa

    ya Mwaka 1997 cc 2000 145000kms Dar es Salaam Turbo Muffler ya mashindano 17" OZ Racing Rim Matairi yenye vipimo vya 215/45 low profile BEI 8M. nipigie/sms/beep 0759123683/0655123683 Picha zimeambatanishwa
  15. kaygeezo

    Website nyingine ya kazi

    Naiona kama nzuri kuliko zoom. I see more details..kuna kzi niliwahi apply zoom wameandika dar nona Tayoa wamescan kabisa kitu ya gazeti ngoma Rukwaaaaa! big up Tayoa!
  16. kaygeezo

    Mwalimu wa computer anahitajika

    MWALIMU WA KUFUNDISHA BASIC COMPUTER APPLICATIONS MS OFFICE(WORD,EXCEL,POWER POINT,MS ACCESS),BASIC COMPUTER USAGE SHULE(KA CHUO KADOGO) KAPO TABATA KISUKURU - MAKONDE DARASA NI LA WATU KAMA 20 HATUHITAJI MTAALAMU SANAANA...MUHIMU AWEZE KUHAMISHIA WATU UJUZI WAKE MAMBO MENGINE MAJADILIANO...
  17. kaygeezo

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    16 pages printed. Ubarikiwe sana
  18. kaygeezo

    Used Switch n Router

    Jamani eeeh...switch nilipataga za deal hapa hapa...sasa nahitaji Router,2600 series itanitosha mwenye connection aje tufanye business fasta
  19. kaygeezo

    Pata kitu eee pad transformer 101

    naona uvivu kugoogle.hii kitu ni nn?
Back
Top Bottom