Kwaiyo mla rushwa akishinda mahakamani kwa njia za kijanja anakuwa sio mla rushwa sio?? Sooo stupid...hasa ukiangalia mahakama zetu zilivyo wenye hela ni ngumu kuwashinda mahakamani!
Kama wananchi wanampenda Zitto basi aanzishe chama chake aone kama hayo mapenzi ni kwa Zitto au Chadema...kwa sasa Zitto hana ubavu ata wa kumshinda Mnyika kwa kura, kwa ufupi Zitto haaminiki tena!
Sent from my BlackBerry
Death is not a thing to wish to anybody let alone your greatest rival...how many people hate u and still don't wish u death?? Come on men let's be human even for a little bit!
Mwanakijiji mimi nakubaliana na mawazo yako juu ya Lowassa kutokuwa mwadilifu lakini vilevile ktk political figures ndani ya Tz kwa sasa sijaona ambaye anauwezo wa kuthubutu kufanya maamuzi magumu kama Lowassa...watu wote wanamsema Lowassa kuhusu Richmond tu, ukiwauliza makosa yake mengine...
Nakumbuka John Cheyo alisema hiyo ilikuwa the best speech aliyowahi kuisikia, ilitoa matumaini sana kwa Watanzania kwa kweli. Inabidi mheshimiwa aisikilize yeye mwenyewe tena ili atafakari pale alipokosea ajirekebishe ndani ya muda uliobakia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.