Maswali ya interview kwa Tanroads hutofautiana kati ya mkoa na mkoa lakini kikubwa ajue majukumu yake kama shift incharge,ajue changamoto za mizani,mfano system imezingua halafu magari yanasubiri kupima unafanyaje,pia ajue gari ikizidi maana yake nini,na computer pia hasa microsoft excell.
Katika hiyo habari ya mtanzania kuna sehem wameandika;shonza,zito na ben saanane walikuwa wamekaa meza moja na ben mkono wake ulikuwa umefungwa bandeji,lakin zito mwenyew amesema hamjui ben saanane na wakikutana anaweza kumpita,sasa iweje watu waliowahi kukaa meza moja kutokujuana?
Sijaelewa hata kidogo,hii post imeanzia kwa Dr Slaa,ikaja kwa msajili,ikaenda kwa CAG,ikahamia kwenye bunge kupitia kamati ihoji matumizi ya vyama vya siasa,hawa ndio vijana ktk siasa za Tanzania!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.