Kwanza nianze kwa kumpa pongezi huyu Jaji. Sio jambo dogo kwa Jaji wa Mahakama Kuu kwa Majaji wetu wa sasa wa mwendokasi kutoa maamuzi yenye mtikisiko mkubwa wa kisiasa na kisheria katika nchi.
Upepo unavyovuma awamu ya tano, ni kwa Jasiri tu anaweza 'aka-rule against the State'.
Kwa Jina ni...
Ndg wale mnaaotazama Uzinduzi wa Ikulu ya Chamwino na Mji was Serikali Mtumba , mtakuwa mmesikia CDF akitamka haya.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amesema jeshi la Wananchi wa Tanzania linafuatilia kauli tata zinazoashiria uchochezi na kuhatarisha kuibua...
Hawa watu siwaelewi! Wengine wanatoka vituo vikubwa tu sintovitaja, wakiitwa kunye tukio iwe halmashauri au vinginevyo wanadai malipo.
Wadau wa sekta hii tujuzeni ajira au taaluma hii ikoje katika utendaji na ujira wake....
Mwenye shughuli ndiye analipa?
Mji mzima umezizima kutokana na moto mkubwa unaoendeleza kuteketeza soko la bidhaa mbalimbali mjini Sumbawanga.
Chanzo cha moto mi bado sijasikia kikielezwa ni nini na Mamlaka zenye Mamlaka hayo.
Poleni sana wafanyabishara wa soko la Mandela na Wanasumbawanga kwa ujumla.
Hii itakuwa ni adhabu kwa upinzani(A) ambao hawastahili hili. Lakini Pia itakuwa faida kwa ccm (B).
Daima uwa ni furaha kwao kama vijana hatujitokezi maana wazee walionyeshwa maji ya bendera huwa waaminifu kwa hawa jamaa.
Note: Japo tunayasema haya ya kutaka kuendelea kushiriki lakini si kwa NEC...
Hii ni kutokana na ukweli kwamba swala la Uchaguzi tarehe 25 linapewa kipaumbele. Hii haijawahi kutokea tangu nchi hii ipate uhuru. Majimbo hayo ni Moshi, Mbulu na Ngara~Lulenge.
Ni ukweli kwamba majimbo ya Dar yanataswira mbili. Kuna majimbo yanayochagua mtu kwa hoja na Credibility ya Mtu. Na kuna yale yanayochagua watu kwa uswahili(wape ngoma, kanga, peleka mdundiko, Wape ubwabwa, peleka diamond nk)
Mfano wa jimbo yanayohitaji hoja na credibility ya mtu ni Ubungo...
Hukumu hiyo imesomwa muda huu na Mh Tenga. Upande wa mashitaka wameshindwa kuthibitishia mahakama juu ya makosa ya watuhumiwa
Chanzo: Mimi Mwenyewe.
========================
Update;
Magazeti leo 01/09/2015 yameandika;
Chanzo: Mwananchi
Watu weweeeee! Watu Hureeeee! Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Asiye na Mwana Aelekee jiwe! Asiye na pesa akapande magari ya Uda aende kwenye shughuli za ccm. Aliye na nauli tukutane jangwani.
Kama vp tembea kwa mguu arimradi utokee jangwani.
Breaking News, nasikia jangwani imefurika muda huu, kazi...
Wala sio siri kuwa ccm ukiwa kama kada wake na ukawa unatofautiana na misimamo ya chama huwezi kupita salama.
Kura za maoni uwa ni kigingi muhimu sana kwa wabishi wote aina ya hawa nilowataja!
Ni kauli ya tume kuwa haiwezi jazwa mtu mwingine.
Kwamba fomu inapochukuliwa NEC si mali ya chama bali mgombea.Ilichukuliwa kwa ajiri ya Kitila Mkumbo hivyo ni lazima ijazwe na Kitila mwenyewe.
Hawezi jaza mtu mwingine.
Chanzo: Magazeti Leo!
Imekuwa ni kawaida sasa kadiri siku za uchaguzi zinavyosogea kuona ndege za kijeshi kupita kwa kasi kwa msururu na milio ya ajabu. Tuachane na wiki iliyopita, tuachane na juzi, pia tusahau ya jana. Ni leo, tena muda huu ninavyoandika, ndege kadhaa za kijeshi zinapita chini kwa mbwembwe nyingi...
Kuna mijadara inaendelea. Kila mtu anajaribu kueleza tathmini ya hali ya kisiasa nchini juu ya nani ataibuka kidedea katika nafasi ya urais.
Ni dhahili vyama ni viwili katika ngazi ya urais; yaani Ccm na Ukawa(kisiasa hiki ni chama).
Ma- prof. na Ma-Dr. wametoa chambuzi zao. Wengine wakiwa na...
Nimeona anavyotangaza habari ya ccm kishabiki sana. Mkutano una watu wa kawaida kama mia na kidogo, ila yeye anasema maelfu ya watu.
Hivi tafsiri ya maelfu ni ipi? Je ni elfu(maelfu) halisi au kuna tafsiri nyingine ktk siasa?
Lowasa alikuwa ccm na serikalini. Manyanyaso aliyofanyiwa walifanyiwa wapinzani. Ni sheria na amri hizi ndizo zilitumika dhidi ya upinzani. Lowasa ni waziri mkuu mstaafu. Waziri mkuu mstaafu si mtu mdogo hata kidogo.
Hii isifurahiwe na yeyote dharimu maana ''Mbwa ukimfundisha kung'ata, siku...
Hawa watu wamegoma kusoma magazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.
Eti wanasema kilichotokea jana kila mtu alishuhudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.
Kweli Clouds?
Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la CCM). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''...
Hii imetokea ktk kata ya Kahangala iliyopo wailaya ya Magu. Hii ni Kura za Maoni za udiwani ndani ya kata hiyo tajwa.
Kuna balozi wa ccm anasema kuliko kuwa na diwani mwizi wa kura ni bora wakaishi bila diwani.
Chanzo: Itv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.