Zitto yupo sahihi sana kupigania Tume huru kabla ya Katiba mpya.
Tanzania tunahitaji tume huru kwanza ili waingie watu wanaostahili ambao hao sasa ndio tutawadai Katiba mpya..
Hao vijana kule ukikuyuni hawaonekani kwenye vituo vya kura. Ruto atalimia meno kwa kuamini block moja tu itampa Urais..
Mpaka muda huu Tume inasema zimepigwa kura 6m tu. Fanya times two labda zitakuwa 12m mpaka muda wa vituo kufungwa. Ruto hatoboi hapo, vijana wanapiga kura mitandaoni tu..
Huko kwa Mlima Kenya ambako Rutto altegemea atabeba kura kwenye vituo vya kura wamejitokeza wachache sana, na hata hao waliojitokeza ni watu wazima.
Wale vijana walikuwa wanajaza mikutano ya Ruto hawapo vituoni sijui hata waliko 😂😂😂.. Na katika sehemu Ruto amepiga kampeni na kutegemea kupata...
EWURA watasema walifanya bulk purchase ya mpaka mwakani mwezi June walihofia bei kupaa zaidi. Kwahiyo tuendelee kuvumilia mpaka mwaka wa serikali ujao bei zitashuka..
Mafuta yalianza kushuka tangia May.. Hizo impact tujulishwe ni lini.
Last time Makamba alisema effects ni baada ya miezi mitatu, May mpaka sasa tayari ni miezi mitatu mbona bei ndio kwanza zinapanda??
Ni vyema serikali inavyopandisha bei ituweke wazi hayo mafuta yalinunuliwa mwezi wa ngapi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.