Sisi tutamaliza Kigali tutaunga na hiyo ya Uganda kutoka Kigali mgoma itakija gharama za usafirishaji route yetu fupi na running cost zetu ni chini WAo wanatumia diesel sisi umeme pia wakenya ni wezi sana kwenye mizigo ya wateja
SHULE ZA SEMINARY MWANAFUNZI AKIFIKA GETI SIKU YA KWANZA UNAVUA NGUO ZAKO ZOTE ZA MTAANI UNA VAA ZA SHULE BEGI SIJUI LAPTOP SIMU ANA KABIDHIWA MZAZI ANARUDI NAYO LEO NDIO WAONGOZA KWENYE UNIVERSITIES MBALI MBALI SASA UNALETA UBITOZI UTAVUNA ULICHO PANDA
Serekali kwanini tuna endekeza rohooo ya kuomba kwani watanzania tuashindwa kuwekeza waache waondoke watazania milion hamsini atushindi North korea wemeweza je?
tuondoe hiyo mawazo ya kila kitu wazungu tu DANGOTE kahongwa ndio maana kasema hayo kwani yeye kaongezewa hiyo asilia 16 kwenye...
Naomba unielekeze jinsi ya kufungua account ambayo nitakuwa naweka pesa kwa mtindo wa Standard order unipe charge zake na interest kwa mwaka maana mshahara wangu unapitia kwenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.