Search results

  1. MwanajamiiOne

    Fedha za maafa kagera zakarabati shule ya ccm

    Dah..... kwa kweli....
  2. MwanajamiiOne

    Why did I get Married?

    Hah... haya bwana.... Its your right and you know that.
  3. MwanajamiiOne

    Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

    Kwa hiyo upinzani umepoteza dira ..... na CCM ndio chama bora? Upinzani upi alokuwa anaupigania yeye?
  4. MwanajamiiOne

    Rais Magufuli afuta sherehe za maazimisho ya siku ya UKIMWI, fedha zinunue dawa...

    Na zile pesa za mafuta ya taa za kuwashia huo mwenge zitumike kununulia gesi kwa ajili ya kutunza dawa za chanjo za watoto vijijini.
  5. MwanajamiiOne

    Swali la Kimantiki: CCM wamuue Alphonce Mawazo kwa sababu zipi hasa?

    Katu huwezi kurule out any 'possible' factor pasipo kuifanyia kazi. With this country.... anything is possible.
  6. MwanajamiiOne

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Mwuulize aliyekuwa injinia wa Temeke aliyefujuzwa akiwa site wakati ghorofa la Chang'ombe limeanguka.
  7. MwanajamiiOne

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Hah why havifanyi kazi? Taratibu za kuripoti na kurekebisha au kureplace vifaa vibovu zikoje? Isijekuwa taarifa zilitolewa lakini urasimu tu
  8. MwanajamiiOne

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    R.I.P Deo, R.I.P Capt Slaa na R.I.P wale wawili ambao hawajatambuliwa. Mungu awape pumziko la amani na familia zenu faraja iliyo kuu. Amen
  9. MwanajamiiOne

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    Ha ha ha alipokuwa 'huko' CV yake ilikuwa safi. .. kweli barabara ya kwenda Ukawa ni vumbi tupu.... lazima uchafuke
  10. MwanajamiiOne

    TANZIA: Mzee Emanuel Makaidi, Mwenyekiti mwenza wa UKAWA afariki dunia

    R.I.P Mzee Makaidi. Mungu akupe pumziko la amani
  11. MwanajamiiOne

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Hivi hii ishu hairuhusiwi kuhusishwa wanafamilia? Ili kutoa ukakasi katika kukamata na kuchimba biti hawa wanaosambaza uvumi huu kiuhalali angalau msemaji wa familia atusaidie kukanusha kama yeye mwenyewe hawezi. Naota tu....
  12. MwanajamiiOne

    Siri ya waraka wa Mwakyembe yafichuka; Kisa ni kifo cha ghafla cha mhudumu ofisini kwake

    Hio ya BVR fake mie siielewi.... hv nani alete BVR feki bure.... kwa faida gani hasa? Au siku hizi uandikishaji watu imekuwa biashara? Hakuna BVR feki zipo BVR halisi.... zilizoletwa na kutolewa na serikali ambazo zimetolewa ki 'feki' ili kufanya kazi maalumu ya ku'feki' matokeo ya uchaguzi...
  13. MwanajamiiOne

    Kwa tukio la mkutano wa Arusha, Kingunge ndio mgombea wa UKAWA?

    Angalau huyu anayetumia dk 7 ninaelewa ujumbe wake ila huyu anayegeuza jukwaa la siasa kuwa gym na jukwaa la mipasho kwa masaa zaidi ya mawili.... sera zake na ahadi zake lukuki sijaelewa hata moja zaidi ya kufurahia fiesta ya bure.
  14. MwanajamiiOne

    Magufuli: M4C = Magufuli 4 Change

    Na bado.... wanakopi kauli mbinu mpaka salamu wataiga....
  15. MwanajamiiOne

    Rais Kikwete amtaja mhusika wa Richmond

    Na kama kipindi kile waliona kuwa kujiuzuru ni adhabu stahiki iweje leo waitengue na kuona kuwa haifai? Kwa nini hawakumpeleka mahakamani kipindi kile au kwa kuwa alikuwa mwanafamilia??
  16. MwanajamiiOne

    Rais Kikwete amtaja mhusika wa Richmond

    Kamtaja Muhusika sasa tunataka amtaje na MMILIKI wake..... ukiishi nyumba ya kioo usianzishe ugomvi wa mawe.
  17. MwanajamiiOne

    Rais Kikwete amtaja mhusika wa Richmond

    Mwizi wa Richmond????? Kumbe Richmond iliibiwa???
  18. MwanajamiiOne

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    Hizi hoja nyepesi zinachosha.... hivi hao unaowaona wazima huwa unakesha nao? Unajuaje kama ni wazima??... khaa wote tu marehemu watarajiwa.... either kwa ajali, malaria, kifaduro n.k. Sisemei UKIMWI coz huo una booster watu wanaishi mpaka 20 yrs...
Back
Top Bottom