Amtumwa na sisiemu mbona mnamgeuka jamani ccm timieni akili zaidi ya matope hamna hata haya
kagasheki anauwezo gani wa kuhamisha watu kama hamjamtuma akina mwiguru nchemba nyooooo
imekula kwenu
osyepuna hayo ndo mliyataka kwani nimekutana na mbunge wenu lameck(ccm)
anasema mpaka arudishe pesa yake aliyowahonga wakt wa uchaguzi ndo mpate
dawa zaidi ya hapo mta r.i.p CCM OYEEE
Leo ndo nimeamini ccm na wafuwasi wakw ni mabingwa wa uongo
ndo maana hata wazee wenye vitu vyenye ncha kali na aliangukiwa
kitu kizito wanabambikia watu kesi kumbe wanafundishwa baa?
Hata mie naamini kua cjawahi kumwona mwalimu amevaa vazi la kijani hata
wakati tunacheza bao pale nyamswa so naamini wavaa kijani wote ni mafisadi
papa na ukiona kijana anashabikia CCM UJUE nae ni fisadi au amekata tamaa ya maisha AMEN.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.